Arusha jamani too much unaweza ukaingia bank ukafikiri umeingia kwenye nyumba ya msiba, kwanza wafanyakazi wenyewe wana hasira, mizee tupu unamuuliza hiki anajibu kile, wanafurahi sana wanapoona watu wamepanga foleni.
Hilo si swali, NMB wana uhakika na pesa kwenye mzunguko wa kila mwezi, 90% ya watumishi wa Umma mishahara yao inapita NMB so zile bank charges tu zenyewe kwa watumishi hao 90% ni faida kubwa sana kwao tofauti na Bank nyingine za kibiashara ambao wao walijikita zaidi kwa wafanyabiashara tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.