TRA/PCCB chunguzeni wizi mkubwa Max Malipo leo hii

Mifumo ya malipo ya kodi isiwe ya mateso kwa walipaji. Ni wapuuzi tu wanaotetea utaratibu wa kumsumbua mtu anayefanya malipo. Ni lazima kuwe na njia mbadala kama mfumo wa max malipo haufanyi kazi.
Pole ndugu yangu, hii haina tofauti na kukabwa
 
Kazi ya kulinda gari ni kazi ya tra, siku wakikamata langu tunapelekana mahakamani, kuna vijana wengi wanahitimu sheria unamuwezesha nauli na msosi na kumwahidi tukishinda kesi tunagawana fidia pasu.
Haya ndio mambo ya akili ndogo kutawala akili kubwa
 
Sawa, makosa yake unayomwita "mzembe wa kutupwa" amekubali na ndio maana anatozwa faini na malipo husika! Lakini hiyo haikuwa hoja wala shida yake......yeye issue yake ipo kwenye Max Malipo kwanini mtandao haupo? KWanini pasiwepo na njia nyengine za kulipia hizo hela kwa TRA?
Server ilizidiwa na wingi wa wataka huduma. Hizi ni system. Ni sawa na mlango kuzidiwa na watu wanaotaka kutoka au kuingia ndani.
 
Wizi ni kila sehemu hapa Tz sasa, juzi nilinunua kavocha kangu ka jero kukaweka tu naambiwa kamekatwa VAT kwa hiyo sio 500/- tena! Nadhani kuwa tax compliant sio kulipa kodi ukiwa umeshikiwa mtutu bali fairness inatakiwa kama ile logo ya TRA inavyoonyesha mizania ya usawa. Hapa ni kunyang'anyana na ndio maana kila siku ni kuwindana kana kwamba ni kodi haramu!
wanakata kwa mtoa hudumaa, ujumbe una verifai tu kua wamedokoa VAT muusika asa ni mtoa huduma,sio wwe mtumiaji
 
Server ilizidiwa na wingi wa wataka huduma. Hizi ni system. Ni sawa na mlango kuzidiwa na watu wanaotaka kutoka au kuingia ndani.

Kwanini itumiwe kampuni yenye server ndogo isiyoweza kukidhi uwezo wa japo malipo ya magari 150 kwa siku, anayolalamika mtoa mada? Kwanini TRA wasiwe na njia mbalimbali tofauti za kupokea malipo ili njia moja ikibuma njia zingine zifae?
 
Kwanini itumiwe kampuni yenye server ndogo isiyoweza kukidhi uwezo wa japo malipo ya magari 150 kwa siku, anayolalamika mtoa mada? Kwanini TRA wasiwe na njia mbalimbali tofauti za kupokea malipo ili njia moja ikibuma njia zingine zifae?
Sikupi jibu. Baki na maswali yako.
 
Sikupi jibu. Baki na maswali yako.
ah ah buraza
Kwanini itumiwe kampuni yenye server ndogo isiyoweza kukidhi uwezo wa japo malipo ya magari 150 kwa siku, anayolalamika mtoa mada? Kwanini TRA wasiwe na njia mbalimbali tofauti za kupokea malipo ili njia moja ikibuma njia zingine zifae?
ah a h ngoja njitahidi kukupa jibu...changamoto ya maxmalipo wamehodhi huduma nyingi na hawajawekeza kwe system so server inazidiwa mfano halisi banki za nmb na crdb walikua wanatumia machine zao..naona wameona kazi haziendi wameamua jitoa koz watumiaji walikua wanalalamika akifanya muamala mmoja lazima machine istuck...nadhani cha msingi ni kupeleka hizi huduma kwa watoa huduma mbalimbali kama selcom basi hata bank...au hizi machine itabidi ziwe uviversal complied sihitaji kucheki mpira niwe na card ya selcom nkienda mwendo kasi nakutana na maxmalipo etc etc
 
Sasa hapo MaxMalipo wanaiba vipi wakati TRA ndo wanaopata hiyo pesa? Mlaumu the taxman hapo, maxmalipo faida yao ilo pale pale hata "wakizima" mtandao mwezi mzima, hawafaidiki na limbikizo.
Anazungumzia Tzs 10.000 ya kulipia gari alipolipaki. Kunaweza kuwa namna fulani ya ujanjaujanja wacheleweshe malipo hizo pesa za parking zikiingia.
 
Hahahaha nawe una maneno,utadhan wewe ni mtaalam wa kila kitu,mimi si mkwepa kodi fatilia Uzi anyway ilikuwa ni kuleta kwa wanajamvi huwez jua leo kwangu kesho kwako
ah ah buraza

ah a h ngoja njitahidi kukupa jibu...changamoto ya maxmalipo wamehodhi huduma nyingi na hawajawekeza kwe system so server inazidiwa mfano halisi banki za nmb na crdb walikua wanatumia machine zao..naona wameona kazi haziendi wameamua jitoa koz watumiaji walikua wanalalamika akifanya muamala mmoja lazima machine istuck...nadhani cha msingi ni kupeleka hizi huduma kwa watoa huduma mbalimbali kama selcom basi hata bank...au hizi machine itabidi ziwe uviversal complied sihitaji kucheki mpira niwe na card ya selcom nkienda mwendo kasi nakutana na maxmalipo etc etc

Jamii forum should be Used as a Plain platform and room of unbiased discussion.

Msije na Hija zenu za kibiashara, Kiushindani kutaka wana Jamii tuwasaidie..

Mdau anzisha Uzi mwingine
 
ah ah buraza

ah a h ngoja njitahidi kukupa jibu...changamoto ya maxmalipo wamehodhi huduma nyingi na hawajawekeza kwe system so server inazidiwa mfano halisi banki za nmb na crdb walikua wanatumia machine zao..naona wameona kazi haziendi wameamua jitoa koz watumiaji walikua wanalalamika akifanya muamala mmoja lazima machine istuck...nadhani cha msingi ni kupeleka hizi huduma kwa watoa huduma mbalimbali kama selcom basi hata bank...au hizi machine itabidi ziwe uviversal complied sihitaji kucheki mpira niwe na card ya selcom nkienda mwendo kasi nakutana na maxmalipo etc etc
Kwa taarifa yako bulaza. Max malipo ndiwo walioshinda tenda. Selcom nao walijitosa wakawa na coverage kidogo zaidi. Selcom amejikita dsm zaidi na miji kama Arusha kidogo na mza kiasi. Hapa iringa hawapo. Labda apewe u sub agent na max malipo apate some of the commission.
 
Jamii forum should be Used as a Plain platform and room of unbiased discussion.

Msije na Hija zenu za kibiashara, Kiushindani kutaka wana Jamii tuwasaidie..

Mdau anzisha Uzi mwingine[/QUOTE
umekula lakini au ubishi tu..mi nmeongelea kwe marketing persepective ndo maana nmeongea hili swala.......tunainga kwe cashless society ndo maana unaona mabank mbalimbali yanaelezea manunuzi kwa kutumia card zao..hizi kampuni mbili nazo zimeingia kwe huu mchakato ambapo unaweza tumia card zao kufanya manunuzi..sasa unaambiwa kampuni moja imezidiwa hadi machine inastuck unajua imapct yake kwe uchumi..nilichojaribu kuemphasis iwepo pratform moja ambapo card unaweza fanya malipo ya postpaid cards bila kutegemea kubeba makadi kibao mkononi..sema kwakua nmegusa ugali wako ushapanick...nmeandika hiyo post kama user fastinated with cashless society
 
wenye yadi watakuwa 'wameongea' na maxmalipo na usishangae yadi ni ya mzito fulani. maxmalipo wana mapungufu yao mengi hata kwa mawakala wao. kamisheni zao hazina mnyambuisho. unawekewa tu. kama hawapunji mawakala kwa nini 'print out ya mwezi isitoke? hawana 'free call number', wakala anatumia hela nyingi kuwasiliana nao. nk nk. inakusanya hela nyingi za serikali na mashirika, na kwa kawaida 'to every succesful woman there is a man behind'.
 
Pole

Ndo nchi yako iyo, people aren't ready for changes

Iyo nchi bila katiba mpya ndo itazidi kuwa mzoga
Katiba mpya ndiyo itawasha mtandao wa maxmalipo?
Watanzania tukubali kubadilika kwanza, tusipobadilika hata katiba mpya ni kazi bure. Tunataka mabadiliko lakini hatutaki kubadilika.
 
Hio sio sawa hao maxi malipo kama nani? Mtandao ukikata inatakiwa siku hio hela 10000 ya ulinzi walipe max malipo sababu ni makosa yao pia hio 10000 Kwa ulinzi upi?
 
Tumeipenda wenyewe na pia ni chaguo letu milele mvimbe mpasuke twaendelea kuisoma mzeeee
 
Back
Top Bottom