Pamoja na yote kama ishara ya mapenzi kwa ubunifu na utamaduni wa Mtz Mwl Nyerere alikuwa na shati la KITENGE alilovaa kwenye baadhi ya mikutano ya ndani na halaiki.
Mdau wangu MJANGA,
Vema unaanza kuelewa. Mie nae nilikua radical sana nisiyekubali maneno ya ghafla tu juu ya mtu. Tangu nimeanza kujenga masjala ya wasifu wa viongozi vijana ktk medani zote hapa Tanzanaia, nilivutiwa sana na historia ya baadhi ya Vijana ambao wamekuwa wajasiri,wametukanwa sana...
Mdau wangu MJANGA,
Vema unaanza kuelewa. Mie nae nilikua radical sana nisiyekubali maneno ya ghafla tu juu ya mtu. Tangu nimeanza kujenga masjala ya wasifu wa viongozi vijana ktk medani zote hapa Tanzanaia, nilivutiwa sana na historia ya baadhi ya Vijana ambao wamekuwa wajasiri,wametukanwa sana...
Mjanga uwe makini na siasa za uongo.
Mie hapa Dar nimeshafanya tafati mbali mbali juu ya VIJANA ktk SIASA na WaTZ wa Diaspora na Siasa za Vyama. Nimefuatilia sana habari za Maina Owino kwa wajaluo wengi lakini hata Lameki Oiro mwenyewe anamkubali na kumhofia sana huyu bwana.
Suala la Ubunge wa...
Mjanga uwe makini na siasa za uongo.
Mie hapa Dar nimeshafanya tafati mbali mbali juu ya VIJANA ktk SIASA na WaTZ wa Diaspora na Siasa za Vyama. Nimefuatilia sana habari za Maina Owino kwa wajaluo wengi lakini hata Lameki Oiro mwenyewe anamkubali na kumhofia sana huyu bwana.
Suala la Ubunge wa...
Habari za wajaluo zinasema Tatizo ni hawa wafanyabiashara na hata kambi ya iliyokuwa ya Profesa Sarungi, wakisikia tu jina la huyo Maina Owino wote wanaungana na vikao vinakua ni kila siku ili jamaa asichukue UBUNGE sababu inasemekana yeye aliweka wazi ufujaji wa pesa ya umma ''STOP'', ma omera...
Katika hali tete isiyo aminika ccm london wamenyimwa mwaliko wa kuhudhuria mkutano mkuu wa ccm 2012 dodoma kwa kile kinachosadikiwa kuchokonoa ufisadi wa mradi wa mamilioni uliofanywa na wakubwa wa ccm na ikulu. Mtandao umekamata.
Wakubwa hao walioko kurugenzi ya mawasiliano ya ikulu; mshauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.