Hivi governor ndullu alipandisha uchumi wa Tanzania? Au aliimarisha shilling ya Tanzania?? Embu fanya assessment wakati ameingia alitukuta wapi na katoka katuacha wapi?
Fanya critical analysis!
Tatizo watu wanachambua vitu vya mapenzi na ndo Mana wanatoka nje ya mada! Jamii forum siku hz imejaa vilaza Sana! Inatakiwa kuwe na qualifications za kucomment humu
Jiji ndo linaongelewa! Sio mkoa mkuu! Kua Makin kidogo! Jiji ni wilaya so linaendana na Moshi ambayo nayo ni wilaya! Kama tungesema mkoa ndo tungehusianisha na Kilimanjaro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.