Treni ya abiria( express) yakwama kazuramimba

Treni ya abiria( express) yakwama kazuramimba

Hazard CFC

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2015
Posts
16,631
Reaction score
38,749
Treni ya express iliyokua inatoka moro kwenda kigoma imekwama eneo la kazuramimba siku ya nne leo..abiria wamekwama siku ya nne leo bila taarifa yoyote,abiria wakosa vyakula,wagonjwa na watoto wakosa huduma muhimu kwa siku mbili sasa,treni ulitakiwa itumie siku mbili kufika kigoma mjini.
 
Treni ya express iliyokua inatoka moro kwenda kigoma imekwama eneo la kazuramimba siku ya nne leo..abiria wamekwama siku ya nne leo bila taarifa yoyote,abiria wakosa vyakula,wagonjwa na watoto wakosa huduma muhimu kwa siku mbili sasa,treni ulitakiwa itumie siku mbili kufika kigoma mjini.
Kazuramimba mbona ni karibu sana na kigoma, maana unakuwa umeishapita uvinza. Yaani hapo ndo watu wakae siku nne.Waambie watafute namna ya kufika kigoma. hata kwa hiace unafika vizuri tu
 
Treni ya express iliyokua inatoka moro kwenda kigoma imekwama eneo la kazuramimba siku ya nne leo..abiria wamekwama siku ya nne leo bila taarifa yoyote,abiria wakosa vyakula,wagonjwa na watoto wakosa huduma muhimu kwa siku mbili sasa,treni ulitakiwa itumie siku mbili kufika kigoma mjini.
Mkuu toa ufafanuzi vizuri siyo kila mtu anapajua hapo Kazuramimba.

Elezea ni Mkoa gani, Wilaya gani, Tarafa gani na ni Kata gani ili watu tuweze kuelewa vizuri, yaani sawa sawa na mi nikasema Igandu, siyo wote wa humu JF wanaopajua hapo.
 
Kazuramimba mbona ni karibu sana na kigoma, maana unakuwa umeishapita uvinza. Yaani hapo ndo watu wakae siku nne.Waambie watafute namna ya kufika kigoma. hata kwa hiace unafika vizuri tu
Wanasema warudishiwe nauli..haice zimeona fursa unaambiwa nauli zimepanda maradufu
 
Mkuu toa ufafanuzi vizuri siyo kila mtu anapajua hapo Kazuramimba.
Elezea ni Mkoa gani, Wilaya gani, Tarafa gani na ni Kata gani ili watu tuweze kuelewa vizuri, yaani sawa sawa na mi nikasema Igandu, siyo wote wa humu JF wanaopajua hapo.
Jiongezea! Sio Kila kitu utafuniwe! Google ilipo kazuramimba upate maarfa
 
Treni ya express iliyokua inatoka moro kwenda kigoma imekwama eneo la kazuramimba siku ya nne leo..abiria wamekwama siku ya nne leo bila taarifa yoyote,abiria wakosa vyakula,wagonjwa na watoto wakosa huduma muhimu kwa siku mbili sasa,treni ulitakiwa itumie siku mbili kufika kigoma mjini.
Yaani kutoka Moro mpaka Kigoma tena kwa treni ya express inachukua siku mbili. Duh!
Vipi kama treni haitakuwa express?
Huu ni umaskini wa kupita maelezo.
Bora mkoloni arudi tu.
 
Yaani kutoka Moro mpaka Kigoma tena kwa treni ya express inachukua siku mbili. Duh!
Vipi kama treni haitakuwa express?
Huu ni umaskini wa kupita maelezo.
Bora mkoloni arudi tu.
Ndio hvyo mkuu...ashukuriwe jiwe kwa kuleta sgr
 
Treni ya express iliyokua inatoka moro kwenda kigoma imekwama eneo la kazuramimba siku ya nne leo..abiria wamekwama siku ya nne leo bila taarifa yoyote,abiria wakosa vyakula,wagonjwa na watoto wakosa huduma muhimu kwa siku mbili sasa,treni ulitakiwa itumie siku mbili kufika kigoma mjini.
Wale miwa ipo mingi sana hapo
 
Back
Top Bottom