Nyumba nzuri sana. Ina vyumba vitatu vya kulala, vitatu. Vyumba viwili Master bedroom, Sebule kubwa na dining room, Jiko na stoo.
Ukubwa wa kiwanja ni mita 25 * 20. Hivyo kuna eneo kubwa mbele ya kujenga fence na fremu za biashara kwa muhitaji wa fremu. Bei ya kuuzwa ni Milo n 48 na maongezi...
Duniani kuna mengi sana yaliyojificha kama ujashuudia au kukutokea unaweza usiamini. Kuna watu wanafanyia wenzao vitu vya ajabu na kushangaza sana. Pole sana mkuu Mungu akutie nguvu
Mtetezi wa wanyonge? Wanyonge gani hao? Huyu kijana ajielewe kabisa, mpaka kabadika na picha ili aonekane. Tamaa ya madaraka itawamaliza, vijana mnakuwa wanafiki kiasi, Tanzania ya viwanda ndio nyie !! Mungu tusaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.