Recent content by Marandofficial

  1. M

    Dodoma ni kutamu jamani

    Sawa mkuu 🙌 nitafutie kiwanja huko Dom ila nihakikishie Kwanza kama vumbi limepungua kwa sasa 😁
  2. M

    Serikali iunganishe Dar na Pwani uwe mkoa mmoja uitwe Dar ili watu wazidi kusogea nje ya mji

    Naona watu waliojenga pwani wanajipigia promo kijanja ili waunganishwe na Dar tushawajua🤪
  3. M

    Dodoma ni kutamu jamani

    Unaweza kuwa na nyumba Dar bado vile vile ukawa kiande tu kujenga nyumba zako siyo ndo kuja kututambia humu tukisema tuanze na sisi kuorodhesha nyumba tulizonazo hadi huko porini kwenu itakuaje???
  4. M

    Dodoma ni kutamu jamani

    Njoo na pesa zako za porini ziliwe na wajanja zikiisha urudi kwenu porini mjini tunahitaji wanaoweza kuchangamsha ubongo we wa kazuramimba na Dar town wapi na wapi bwege wewe 😂
  5. M

    Dodoma ni kutamu jamani

    We sema ulijenga nyumba Ili uishi Mjini ulipoona pamekuchapa za uso ukakikimbia bwege wewe Mjini panahitaji akili endelea kukaa na mifugo huko porini
  6. M

    Dodoma ni kutamu jamani

    Unaweza kuwa umejenga nyumba tatu Dar na bado ukawa mshamba wa kuishi Dar ndo maana pakakushinda Mjini panahitaji wajanja Yaani ushindwe enjoy Dar town uka enjoy porini na mifugo kweli??????
  7. M

    Dodoma ni kutamu jamani

    Ila kuna miji hata wakiniambia nikaishi kwa mkopo siwezi,,, Dodoma, Sumbawanga, Kigoma Lindi, Mtwara na ruvuma kuishi hiyo mikoa mtanisamehe 😂
  8. M

    Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

    Mama akiona Makonda anaupiga mwingiii Arusha na wananchi wakamkubali anamhamisha tena awamu hii haitaki speed 😁
  9. M

    TANROAD iweke matuta barabara ya njia nane ya Kimara to Kibaha

    Mbona mnapenda sana barabara zenye matuta? Mnataka kuotesha viazi au?????
  10. M

    Kariakoo, Upanga na Posta wana nchi yao nyingine kabisa

    Kwa hiyo kuna plane ya Moja kwa moja kutoka huko mpaka ughaibuni bila kwenda kipawa
Back
Top Bottom