Unaweza kuwa na nyumba Dar bado vile vile ukawa kiande tu kujenga nyumba zako siyo ndo kuja kututambia humu tukisema tuanze na sisi kuorodhesha nyumba tulizonazo hadi huko porini kwenu itakuaje???
Njoo na pesa zako za porini ziliwe na wajanja zikiisha urudi kwenu porini mjini tunahitaji wanaoweza kuchangamsha ubongo we wa kazuramimba na Dar town wapi na wapi bwege wewe 😂
Unaweza kuwa umejenga nyumba tatu Dar na bado ukawa mshamba wa kuishi Dar ndo maana pakakushinda Mjini panahitaji wajanja Yaani ushindwe enjoy Dar town uka enjoy porini na mifugo kweli??????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.