ww hata aibu huna looooo!!!!!!!!!!! hiv nyie wanaume mbona mnapenda sana kuwasimanga wanawake kama vile nyie ni wasafi sana jaman????hata kama ni kiumbe zaifu sio kwa matusi hayo (ndio masichana yalivyo) hiv ww uliyekewa unataka mpenz wako awe bikira wewe ni bikra????tusifanye hvo jaman.
most of girls wanafanya mapenzi kinyume na maumbile kwa kulazimishwa na wanaume. mtu anakubali kufanya hivo ili kumridhisha mpenzi wake bila kujua kwamba anajiumiza mwenyewe. ubuya unakuja pale ukishakubal kutoa ni ngumu kuacha baada ya kuzoea kufanya hvo.
ndugu zangu naomba mtu mwenye idear ya biashara ya stationary anijuze, hasa zaid katika capital ambayo inahitajika katika kufanya biashara hyo.
nawasilisha.
habar zenu wa jf,
mm ningependa kujua mambo machache katika mapenzi
1. Hivi inawezekana kwa mwanamke kufika kileleni akiwa anasex?????
2.Ni nini kinaweza kumsaidia mtu ambaye hajawah kufikia kilelen aweze kufika???
3.Kwann kuna wakati ukiwa unafanya mapenzi unaumia hasa pale uume unapokuwa...
hiyo ni tamaa yako tu acha kujitetea, kama ndio tabia yako ni ww acha kuwajumuisha na wengine.pia kumbuka pale ambapo ww unachepuka na mkeo nae pia ni mchepukio wa mwenzio. kaa chini fikiri mara mbili:mad:
mmmh labda nakushauri ukasikilize ule wimbo wa ambwene mwasongwe kwanza wa upendo then ndio urudi.Mungu anauwezo wakufanya pale ambapo hata sisi hatufikirii kama inawezekana.mwasongwe aliimba yule kijana alimpenda yule dada akiwa kichaa na Mungu alimponya yule dada ili yule kaka asiaibike na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.