-Kama ambavyo hajashawishiwa na mtu yeyote kuja kuandika mkasa wake humu, ndivyo na ninyi pia hamjashawishiwa kuja kusoma mikasa ya Jack Daniel .
-Mnaonekana ni kwa namna gani mlivyo wapuuzi na washenzi kwa kumtusi, kumlaumu na kutumia command kwa mtu ambae ameweka mikasa yake kuwiwa kutokana...
Mnataka mpewe hadhi ipi akati ninyi wenyewe mnajitenga na kujiona ninyi sio Watanzania bali Wazanzibari?
Mlifanya mikakati ya kuua michuano ya Muungano na kuasisi michuano ya Mapinduzi ili mjimwambafai..
Boresheni team zenu ili ziwe na hadhi sawa na team za upande wa Tanganyika, ila sio...
hakika Jack Daniel, upo vzuri ktk Simulizi ya Mikasa..
Samson ndio Jack Daniel Mwenyewe kutoka Mufindi, Tarafa ya Sadani code yangu ndio inaninukia ivoo
Kuna Mdau pia ktk Simulizi za Visa na Mikasa, anaitwa "Jack Daniel" jamaa yupo juu sana ktk kupangilia matukio na aina ya uandishi wake,
Ila jamaa ni kama anatingwa sana na baadhi ya Majukumu yake, hupelekea simulizi zake kuwa slow sana, ila ni Bonge la Simulizi..
Uzuri wa mtandaoni unavojisali huwa hawaulzi kama unayo matatizo ya akili...ndio maana matatizo yao ya akili wanakuja kuoneshea mtandaoni....na ulihisi pia ukiweka uzi kama huu wana Lunyasi wengekuja kwa wingi kuku attack...lkn imekuwa tofauti ...ivo basi mbinu imebumAaaaaa.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.