yah..ni kwa wanawake na wasichana mkuu........tuseme ni science of functions and diseases zinazo/yanayo wahusu ao watu... based esp. on their reproductive systesms /organs
ama theres something tofauti na hapo mkuu???
uko sahihi mkuu ila kwa ufupi tuh ale vyakula vingi ambavyo ni rich in proteins kwasababu sperm cells ni highly proteins in nature especially essential proteins ambazo mwili hauwezi zitengenezea hivyo inaitaji toka misosi ya nje......
Yah uko sahihi mkuu....naweza sema madhara yake sio makubwa...lakini ni muhimu to take time before or after meal atleast half an hour au zaidi kwasababu maji hasa yakiwa mengi yata slowdown digestion process(umengenyaji wa chakula) kwa kudilute enzymes(vimengenya) kuanzia kwenye tumbo ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.