Recent content by Maporo

  1. M

    Rais Kikwete ameshindwa kuitetea Katiba! Je, sisi wapagani tunawekwa wapi?

    Rais alikuwa sawa katika hotuba yake, Labda sema kuwa hakuzungumza kitu ambacho wewe ulitegemea akizungumze!! Na hawezi kuzungumza akawaridhisha watu wote!
  2. M

    Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    Hongera sana bwana Mohamed kwa uchambuzi wako katika hili swala. Kila anapoingia kiongozi (Rais) muislamu hawa wakristo hawishi kumsakama kwa maneno ili aonekane kwa watanzania kuwa hafai, Angalia enzi za Al-hajj Mwinyi na sasa Dr kikwete, Hawaishi kutoa miongozo ya uchaguzi, kauli nzito nzito...
  3. M

    Picha: Daktari wa ‘MOI’ muhimbili na nesi wake mbaroni kwa rushwa

    Sidhani kama watanzania tumetumia hekma ktk suala hili, Tumeweka siasa hata ktk masuala muhimu ya Afya, Sasa masuala ya Epa na Richmond yanahusiana vp na suala la Rushwa hospital?!!! Tulichambue jambo kulingana na wkt wake na umuhimu wake kwa jamii.
  4. M

    MKAPA ndio kaimalizia Tanzania

    Ni kweli kabisa yeye ndiye alieimaliza Tanzania, Alifanikiwa kukusanya kodi kwa wingi na akazihamishia kwake na rafiki zake. Wanaomlaumu Kikwete hawaangalii mambo kwa mapana yake!!!
  5. M

    Mahusiano ya CCM,Lowassa na umasikini wa Watanzania

    Sasa hivi tunaona makosa mengi sana ya JK kuliko mazuri yake!! ila pindi atakapo maliza muda wake tutaanza kumsifia, Kutokana na uongozi wa kiongozi atakaye kuwa madarakani baada yake.
  6. M

    Mkapa anaongoza nchi kimyakimya?

    Ndio maana ya uongozi, Kiongozi makini na mwenye buasara akishauriwa kitu cha maana (haijalishi ni nani aliyemshauri) hukifanyia kazi...!!! Kumshukuru aliyemshauri tena mbele za watu, Ni jambo la MAANA NA BUSARA SANA. Baadhi ya tulio wengi hatuwezi kabisa!!!
  7. M

    UAMSHO ni viongozi, zanzibar. SMZ na shein ni WATAWALA tu

    Ni kweli Viongozi wa Muamsho wana sauti KUU, Ila wafuasi wao wanapashwa kuheshimu MAONI ya watu wengine!!
  8. M

    Natafuta mpenzi na rafiki wakike wa kuchat nae

    Labda atapata
Back
Top Bottom