Recent content by Mapondela

  1. Mapondela

    Amuua mwenzake kwa kipigo baada ya kumkuta akimtongoza dada yake

    Ana kesi ya kujibu hadi mahakama itakapothibitisha vinginevyo.
  2. Mapondela

    Who is next?

    kama zipi unadhani?
  3. Mapondela

    Anayeshona suti za Rais Magufuli arekebishe mikono

    fundi anamuogopa kiasi hata kimuambia tutengeneze tena anashindwa
  4. Mapondela

    Msaada nipo ugenini mwenyeji ananitisha

    wakati umelala unapost Jf
  5. Mapondela

    Afrika ikiwa na maraisi ishirini kama Magufuli

    Humu hutopata wachangiaji.
  6. Mapondela

    Maulid day ni lini?

    kuzaliwa kwa mtume Mohamad SAW
  7. Mapondela

    Kumbe Zanzibar ndivyo ilivyo

    Nahisi majengo marefu yapo kitaalamu zaidi kwamba hali halisi ya kisiwa haitawezekana. Nadhani watu wa ujenzi kama wapo watachangia kwa mtizamo huu. Lkn. tukumbuke maendeleo si majengo peke yake.
  8. Mapondela

    Armed gangs Msasani/ vikundi vya wahalifu wanaotumia silaha maeneo ya Msasani

    We naona unamaslahi nao hao wezi. Jaribu utembee na gari wakati hujafunga milango halafu taratibu ndio utajua hali halisi huko. Pale kwenye bump ya Officers mess watu wanalia kila mara. Nenda kapunge upepo jioni uone kitakachokutokea utavuliwa hadi suruali. Sio kutishana hivyo ndio hali halisi
  9. Mapondela

    Bomoa Bomoa Awamu ya 2: Eneo la Jangwani - Dar es salaam

    Hii ni sawa kabisa. Hawa hata mahakama ilishawaambia wahame kwa sababu eneo hilo ni hatarishi. I hope ma wezi wa hapo wamebomolewa
  10. Mapondela

    Tunahitaji msaada wako Mh Lukuvi

    Pole sana huko ni balaa. Hata sisi tuko mapinga kuna mwanamke anaitwa Mwanahamisi ni tapeli wa mashamba ile mbaya. Cha kushangaza anatumia majina matatu tofauti katika utapeli wake na watendaji wanamkubalia katika mikataba ya kitapeli. Ukienda polisi utakuta ana kesi tofauti na majina tofauti...
  11. Mapondela

    Magufuli phobia imenikuta leo, wee acha tuu

    Unaonekana una madhambi uliyokuwa nayo ndio maana unaogopa ogopa kuitwa
  12. Mapondela

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Mbona EL na richmond alirudi
  13. Mapondela

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Tupe la kwako ambalo ungelipenda
  14. Mapondela

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Hebu tupe wa kwako wangekua wakina nani.
Back
Top Bottom