"BMW" yawezekana kuwa ndolegacy ya ------ mwenzangu'; angalia haya, mama yuko na WAMA, mtoto, nasikia sina uhakika ni mbia wa Lake Oil and campanies, baba ndo mfanya biashara pale ambapo mzee nyerere alipaita patakatifu! Legacy hapa ni maslahi kwanza kwa "Baba, Mama na Watoto" (BMW)
'Baada ya uumbaji wote, mungu alifikiri sana na akasema "tuumbe mtu kwa mfano wetu" Hapa ndipo Adamu alipoumbwa! Hata hivyo Adamu alionekana kuwa na huzuni na mungu akawapitisha wanyama wote na vyote katika dunia na Adam akavipa majina lakini bado hakuonekana kuchangamka n ndipo mungu akampa...
Ni aibu kubwa chama kikongwe kama CCM kuwa na katibu mwenezi anayefikiri kwa namna hii; Kweli katibu mwenezi wa CCM analeta hadithi za kombolela? CCM kwishinee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.