stress ni Mbaya sana
sasa hivi ni usiku
hang over imeanza mapema hivi
hiyo jumatatu utaingia kazini kweli?
anafanya kile awezacho siyo utakacho
Ova.
Yule Mupe Yule Muruke.....
hazikinzani zipo wazi
ni kwamba sasa tangu july 2020 hadi sasa bado nangojea majibu ya maombi ya kurudishwa kwenye Payroll kama itakubalika au la,
hivyo nipo na endelea kusubiri
Mimi ni kijana na hadi leo nimetazama nakala ya Cheti changu cha kuzaliwa nitatimiza miaka 31 mapema mwezi March lakini jambo la kushangaza mipango yangu inazunguka nainuka kwa muda kisha narudi tena kuanza moja maisha yangu hayaendi mbele.
Ipo hivi.
Nilihitimu Chuo cha Mafunzo ya ualimu kwa...
kuna Kukata tamaa kwa kauli alizozisema hapo Anaendesha timu kwa Hasara ni uwekezaji upi usio na hasara?
hasara haiepukiki lakini inaweza kupunguzwa awe jasiri ili aendelee kuitwa Mo winginevyo tutamuitwa Kaka MUDI.
kwako Mheshimiwa Waziri;Jenister Mhagama,
Hongera kwa kuendelea kuaminiwa na kushika nyadhifa muhimu katika Kutenda maamuzi muhimu ndani ya serikali yetu ya JMT,
dhumuni la Ushauri huu ni kuelezea mambo muhimu ili kuleta ufanisi kwenye utendaji na utoaji wa huduma kwa wananchi pasi na kuweka...
Ndugu waungwana, nakuja mbele yenu ili kuomba msaada wa haraka na nini nifanye
mapema mwaka 2014 niliajiriwa kama mwalimu katika halmashauri moja hapa nchini Tanzania.
Hata hivyo, kwa kupatwa na tatizo lililo nje ya uwezo wangu nilipata matatizo yaliyopelekea kuondolewa kwenye mfumo wa malipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.