Poleni wanafamilia na wafanyakazi wote wa IPP Media kwa kuondokewa na mpendwa wenu
Jamani watu wanakufa kama kuku kideri.Aliyekuwa mwandishi mwandamizi wa kituo cha @ITVTANZANIA na
@RadioOneStereo, Emmanuel Chacha amefariki dunia jioni ya leo Februari 10, 2022 akiwa jijini Mwanza. Chacha alianguka ghafla ambapo amefariki akiwa njiani akipelekwa hospitali.
Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu pema peponi, Amen
View attachment 2115256
Wewe huyu dada kafariki kweli jamaniDuh huu mwaka mbona umeanza vibaya sana leo hii tena dr mwele malecela kafariki
RIP to all of them
Ni majonzi makubwa kwetu sisi wananzengo wenzake, pole kwa familia, ndugu jamaa na marafikiAliyekuwa mwandishi mwandamizi wa kituo cha ITV na Radio One, Emmanuel Chacha amefariki dunia jioni ya leo Februari 10, 2022 akiwa jijini Mwanza.
Chacha alianguka ghafla ambapo amefariki akiwa njiani akipelekwa hospitali.
View attachment 2115244