Kwa uchunguzi wangu mdogo duka la kamaka liliopo barabara ya mandela opposite na t.o.t,wanauza vifaa vya ujenzi bila kutoa tra risiti ,ushahidi ninao naomba tra wafuatilie waache kulumbana na vi hotel na migahawa,wakitaka ushahid nitatoa contact zangu na document.dduka linauza sana,please tra...
Habari wana jf.mimi nina tatizo lakupenda maziwa fresh,naweza kunywa hata lita tatu kwa siku au zaidi ya lita tatu,mara nyingi nakunywaga yale box,au pakt naomba kujua side effect ya unywaji sana wa maziwa.thanx
dah hii itaumiza wapangaji coz burden itakua kwa walala hoi ,maana nyumba zitapanda bei balaa labda waweke exemption kwa kima fulani cha garama ya pango wasilipe hyo kod
nakushauri ununue runX ni nzuri na itakupendeza sana nenda pale TZCARS karibu na makutano ya moroko ka unatokea mwenge mkono wa kushoto,very cheap mdau
Huyu mzee hafai akiona staff amenunua gari tu anaanza maneno mpaka anamfukuza bila kujua kuna staff wana miradi yao,pia ni bingwa wa kukwepa kodi kwa style yake ya peacock 2,yaani data za kodi zinaandaliwa upya na special staff kwa ajili hyo tu,
jamani wadau huyu mzee mfugale ni mkandamizaji vibaya kuna wafanya kazi wamefanya wamefanya kazi peacock hotel zaidi ya miaka kumi lkn juzi gafla kaja na mikatba mipya et wafanyakazi wote wa saini contract kwamba wapo kwenye probation period,staff wengi waligoma kusaini basi akasema ambae hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.