Recent content by manzidon

  1. M

    Moto wazuka Hosteli za Mabibo

    mbona unaongelea vitu havihusiani
  2. M

    Rwanda: Kagame's doctor mysteriously killed in police cell

    Men ought either to be indulged or utterly destroyed, for if you merely offend them they take vengeance, but if you injure them greatly they are unable to retaliate, so that the injury done to a man ought to be such that vengeance cannot be feared. -Niccolo Machiavelli
  3. M

    Mwanangu ana miaka 6 lakini huwa ananishangaza

    kweli kabisa imaginary friends ni kawaida hasa kwa wenzetu wazungu lakini ninachokiona hapo ni kwamba mtoto atakua na IQ kubwa kwa sababu umesema pia darasani ana uwezo mkubwa,pia ingekua ni vizuri kumfuatilia kwa karibu kujua ni story books za aina gani anapenda kusoma au vitu gani huwa...
  4. M

    Thabo Mbeki: My sense is that Dr Salim is exactly the kind of Leader that we need in Africa

    Next time if you dont know what exactly you are talking about its better you keep quiet....or atleast read...articles,books,magazine...they do really help!
  5. M

    Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

    What a pathetic article!! this is completely untrue and I look at it as one way of abusing and disrespecting the black race.Why should people with low iq only come from africa? thats one and two in what basis do you conclude that one country's peolple have higher iq than the other regardless...
  6. M

    Raisi Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Awamu Tano 2015-2020 atakuwa nani?

    huyo hafai kuwa rais..kwa uchapakazi wake itakua vizuri akatulia kwenye uwaziri mkuu..
  7. M

    Kuinyima misaada Russia ni ujinga usiofikirika kwa Marekani

    Hapa China anachekelea tu anajua viburi vyao vyote wanajua yeye yupo...
  8. M

    Pres. Mugabe: It is time Africa be grateful to Julius Nyerere

    umesema sawa kabisa...kinachotuumiza watanzania na waafrika kwa ujumla ni kwamba hatusomi na hiv yo tunaishia kuongea kisiasa tu na bila kuwa na facts..
  9. M

    Pres. Mugabe: It is time Africa be grateful to Julius Nyerere

    Naona hatuwezi elewana kwa sababu hio manipulation ninayo iongelea inafanywa ili kutengeneza fikra kama ulizonazo wewe
  10. M

    Pres. Mugabe: It is time Africa be grateful to Julius Nyerere

    Yani hio ndio point nzima ya huyu mze kama ukisoma between the lines ishu ni kwamba Mandela amekua praised kupita kiasi kwa sababu alilinda interest za wazungu kwakua pamoja na unyama walioufanya akawasamehe lakini cha kushangaza mtu kama mwl Nyerere ambae waafrika tunaelewa mchango wake fika...
  11. M

    Kagame adaiwa kupandikiza makachero nchini kuipeleleza Serikali… mbunge atajwa kuhusika!

    i wish watu wote wangekua wanaandika vitu vya maana kama hivi badala ya kuandika...uchochezi na malalamiko yasiyo ya msingi
  12. M

    Tuhuma dhidi ya Zitto kuhongwa magari: Nimrod Mkono akanusha!

    Ataachaje ulocal wakati elimu hamna pale
  13. M

    Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

    so what exactly is your point...so you think kenyans they just woke up in the morning and started the project....try to to have an open mind with a positive attitude
Back
Top Bottom