maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,829
hivi hapo hakuna fire extinguisher waanze kuzima hao vijana wenyewe kabla ya hao zimamoto kufika baada ya masaa mawili
Wanajua kuzitumia? Kwanza moto ukishakua mkubwa kama huo fire extinguishers zile haziwezi kuzima