Kwanini tunapenda kushtukizwa? Ndio maana hata leo Mhe Rais kawaambia wateule wake "kama unautaka kule sema mapema tujue" maana yake uelewa wa jambo mapema inatoa mwanya wa ufahamu, na kutoa maoni kwa mstakbali mwema wa maendeleo. Ni muda sahihi mimi naona kwa mtazamo wangu
Jambo likiachwa bila kujibiwa laweza kuonekana kuwa ni kweli. Kutokana na kero iliyotajwa na mdau hapo juu, naomba kwa ufupi niweke sawa mambo kadhaa;
Bukoba Manispaa ni miongoni mwa halmashauri zinazoenda kunufaika na miradi ya Tactic inayoendelea katika maeneo mbalimbali nchini kama majuzi...
Mwaka 2014 wakati wa tathmini ya mradi wa LVEMP ilionekana nyumba zaidi ya 300 zipo ndani ya mita 60, unapata wapi fedha za kubomoa nyumba 300 ulipe fidia, sasa mradi wa Tactic ni mkombozi kwa kujenga kingo za mto bila kuhatarisha makazi ya watu walio wengi. Mradi utaangaliwa unahitaji mita...
Hizi ni ngonjera tu. Ujio wa mradi wa Tactic katika eneo la mto kanoni yaani kujenga kingo maana yake ni kuondoa changamoto za mafuriko mjini Bukoba. Mto Kanoni unapita kwenye kata zaidi ya 7 ikiwemo Kagondo, Rwamishenye, Nshambya, Hamugembe, Bilele, Bakoba na Miembeni kati ya kata 14 zilizopo...
Pole sana kwa kadhia. Lakini nashauri ili mamlaka ziweze kushughulikia vizuri pia ungewapa muongozo ikiwemo tarehe uliyohudhuria pale kituoni ili iwe rahisi kushughulikia.
Na hii itasaidia kutowajumuisha kila mmoja, sio kwamba wahudumu wote wana shida hivyo tusiwakatishe tamaa kwa kugeneralize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.