Recent content by manyesa

  1. M

    Fake or Real? Zitto atuhumiwa kuwezeshwa na IPTL kwa matibabu ya marehemu Mama yake

    JF ni mtandao makini kwa watu makini. Next time usilete ijinga wako humu
  2. M

    Zitto na PAC yake waliteleza?

    Toa M.A.V.I yako haya, unaandika uji.nga, pa.nya kabisaa wewe huna uchungu na nchi yako na utakuwa umetumwa. M.Bwa kabisa..
  3. M

    Samaki wa aina hii wanapatikana wapi Tanzania?

    Wanapatikana Mbagala langi tatu...
  4. M

    Nyumba inauzwa

    Nyumba inauzwa ipo Keko magurumbasi B sh. M 30 ni ya zamani ina nyumba 13. Call 0754654410
  5. M

    Tatizo la kukatika katika umeme kuikosesha kura CCM

    Mgao upo Mwanza, Dodoma na Dar umeanza leo.
  6. M

    50/50 Ni Majanga kwa Wanaume

    Mbona wanaume hawaitaji kuwezeshwa?, halafu 50/50 haina muwezeshaji kila mtu anakufa na 50 yake.
  7. M

    Msambazaji wa samaki wabichi aina ya Sato

    Bei is very important, weka bei
  8. M

    Natafuta housegirl Dar

    Kwa hali hiyo atakua mke na sio house girl. Hahahaaa
  9. M

    Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud afukuzwa kazi, Said Hassan Said apewa nafasi hiyo

    Viongozi wetu mnatakiwa kujifunza kutoka kwa hayati Nelson Mandela ambaye halikua halipizi visasi. Weakness leadership makes Revenge and strong leadership accept challenges
  10. M

    Gari Toyota Crown inauzwa

    Mmmmh, milion 21?
  11. M

    Ifunda Tech yafungwa kwa muda usiojulikana

    Hata hivyo hapo wanachapa sana, shemeji yangu alimaliza advance mwaka jana aliwahi kuchapwa fimbo zaidi ya 16 tena ni wakike. Serikali iangalie vzr ila ni kweli wanachapa sana na malalamiko yanatolewa ila hayafanyiwi kazi.
  12. M

    Nauza Pikipikl ya Boxer bei poa

    1M ipo
  13. M

    Picha za magari mapya ya Polisi mtaani Dar es salaam

    Nikiondoka na Verossa hawanikuti
Back
Top Bottom