Viongozi wetu mnatakiwa kujifunza kutoka kwa hayati Nelson Mandela ambaye halikua halipizi visasi.
Weakness leadership makes Revenge and strong leadership accept challenges
Hata hivyo hapo wanachapa sana, shemeji yangu alimaliza advance mwaka jana aliwahi kuchapwa fimbo zaidi ya 16 tena ni wakike. Serikali iangalie vzr ila ni kweli wanachapa sana na malalamiko yanatolewa ila hayafanyiwi kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.