Hii kitu mbona kawaida sana, unaona TV online, unachagua mnapatana bei na muuzaji. Mzigo unafungwa kwenye bodaboda huo mpaka kwenu Kimara, ukifika TV inatolewa inafanyiwa testing kila kitu kiko sawa unamlipa bodaboda hela ya Tv anasema. Kama kuna issue yeyote kwenye TV au kama ni tofauti na...
Lakini hizo barabara za mwendokasi si zimetengenezwa kwa zege kali, ambapo ni imara zaidi ya hizi lami za kawaida. Sasa iweje malori kupita kwa muda mfupi zipasuke tena, nadhani hoja hapo ni ubora wa barabara zenyewe za mwendokasi na si malori kupita humo. Kitonga pale mlimani lami ilikuwa...
Nikiri kuwa mm ni mmoja wa wanufaika wa hizo activities za hao watu wa NGO, ingawa sifanyi kazi huko. Ila naona hali inaenda kuwa ngumu aisee, maana kuna workshops kadhaa zimeshakuwa cancelled hapa ni utata
Huu ndiyo ukweli mchungu, maana ukichek hata matangazo ambayo ndiyo chanzo kikubwa cha mapato kwenye hizo radio na TV, yanapelekwa zaidi kwa chawa sikuhizi wakina Mwijaku, Babalevo, Dotto magari na watu wengine maarufu kwenye jamii. Social media is a game changer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.