Mi nakushauri umuache kabsa tena mapema ili umpunguzie matatizo, halafu ktk kipindi hiki atapata mtu ambaye anampenda kwa dhati coz atamkubali hivyo hivyo na ulemavu wake
Jamani sisi hatuuzi wala kutoa kiungo chetu hiki maana sijawahi ona eti mtu kauziwa halafu kaondoka nacho. Ukinunua kitu si lazima uondoke nacho??! Sasa cc hatujawahi gawa kitu yetu ikatoka nje ya mwili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.