Recent content by manyanga21

  1. manyanga21

    Door sealer,raba za kuzuia wadudu mlangoni

    Kuna mzigo wa Door Sealer upo godauni la Silent Ocean unahitaji mtu wa kuuchukua haraka. ‎ ‎📦 Mzigo tayari upo godauni👉s silent ocean zipo pic 60 Unachotakiwa kufanya ni kulipia . binafsi nimeshindwa kulipia kwa sababu ya pesa kubwa ili kuutoa💰 nimepata changamoto nimeshindwa kuutoa,mwenye...
  2. manyanga21

    Mashine (ya kisasa )ya juice ya miwa inatumia umeme

    Specification zake 1.size 48*38*78 2 voltage 220/50hz 3. Three crushing rollers 4.material (Stainless) 4. Ipo na 3HP electric motors. 5. Uwezo 300kg kwa saa.bei 1,400,00 Ipo mtoni kijichi, mashine ni mpya kabisa
  3. manyanga21

    Gari lililowahi kumilikiwa na watu wengi eneo fulani utakapopita nalo linahitaji moyo kulifurahia

    Hali ilivyo sasa kupata gari jipya ni ngumu sana, wengi tunapata used ndugu mwandishi angalau ungependekeza tujitaidi kutafuta used from Japan ambayo haijatumika sana ila used za kibongo ni hatari,gari imesha shusha engine zaidi ya mara mbili ila unambiwa ni used as new, mbaya zaidi gari zenyewe...
  4. manyanga21

    Napitia changamoto kubwa, mke wangu anachanganyikiwa!

    Kwa maelekezo yako mafupi,binafsi naona ana kitu kinachoitwa sonono,hali ya kutokubaliana na jambo lililotokea ile simanzi ya kumpoteza mtoto bado inamuumiza na Ndio inayomfanya hawe mtu wa jaziba,lawama, anahisi dunia imemkatili ni vyema kama ukimtafuta daktari wa akili
  5. manyanga21

    Tunatengeneza mashine za mbao

    Mashine ya kukata mbao bei gani
  6. manyanga21

    Msaada wa ushauri

    Nipo dar, unaweza kunipatia mawasiliano yake
  7. manyanga21

    Msaada wa ushauri

    Msaada nina honda fit first generation, gari inamiss na kuishiwa nguvu kisha inazima na kuwaka taa ya check engine na taa ya betri baada ya muda inawaka , changamoto inaweza kuwa nini wajuzi na wazoefu Nilipotazama feni ya ac haiwaki,ila feni ya engine inawaka fundi akanishauli nisitumie ac...
  8. manyanga21

    Kipi bora kati ya kuwa winga wa kila kitu au kuwa winga wa bidhaa moja tu?

    Komaa na kimoja hakikisha unakijuwa inje ndani vingine viwe kama nyongeza
  9. manyanga21

    Bajeti yangu ya Milioni 5, nahitaji gari iwe kuanzia namba C iliyo karibu na D na kuendelea

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji moja kati ya gari hizi Toyota vitz, Old au New model Suzuki swift Old au New model Mwenye ist na rastic anakaribiswa bajeti yangu ya 5M nahitaji gari iwe kuanzia namba C iliyo karibu na D na kuendelea. NAITAJI MMILIKI WA GARI SIO DALALI...
  10. manyanga21

    Nauza Mashine ya kukamua na kuchuja alizeti no 120

    Nauza Mashine ya kukamua na kuchuja alizeti no 120 ,umeme stree phrase, tani 6.5 per 24.bei 26,500,000 ,napatikana kwa namba 0713503753 tupo dar es salaam
  11. manyanga21

    Sitosahau

    Ulimwengu umetawaliwa na nguvu ambazo hazionekani ila zipo
  12. manyanga21

    Nina 65M nifanye biashara gani?

    Mkuu tuanze kwanza na wewe binafsi unauzoefu wa biashara, pia una penda biashara za aina gani ,kushalisha bidhaa na kuuza kwa jumla au kuuza bidhaa rejareja, au unapendelea biashara za utowaji huduma ,mf upangishaji nyumba, uwakala,usafirishaji ukijuwa itakuwa rahisi kukushauri ufanye Biashara gani
  13. manyanga21

    Wakuu, nini kimemkuta Max Verstappen "Mad Max"?

    Mkuu mfano bar ipi wanaonyesha hayo mashindano huwa napata tamu sana kufatilia ila ni mshabiki mkubwa sana wa mbio za langalanga
  14. manyanga21

    Naomba wazo la biashara la mtaji wa laki saba

    Biashara ya internet Cafe kwa sasa ni ngumu kutokana na uwepo wa smart phone kazi zilizokuwa zinafanyika internet Cafe zinaweza kufanyika na smart phone labla ufungue stationary ndogo pia unaweza kuuza internet mtaani hapo ulipo kama upo interest nayo
Back
Top Bottom