Mimi ni dereva mzoefu mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 2. Kwa sasa natafuta gari la mkataba au la hesabu kwa ajili ya kufanya kazi za Uber na Bolt.nina account ya bolt nk
Pia niko tayari kufanya kazi kama dereva binafsi kwa mtu au kampuni.
Kwa mawasiliano zaidi, tafadhali wasiliana nami kupitia...
Kuna mzigo wa Door Sealer upo godauni la Silent Ocean unahitaji mtu wa kuuchukua haraka.
📦 Mzigo tayari upo godauni👉s silent ocean zipo pic 60 Unachotakiwa kufanya ni kulipia . binafsi nimeshindwa kulipia kwa sababu ya pesa kubwa ili kuutoa💰 nimepata changamoto nimeshindwa kuutoa,mwenye...
Specification zake
1.size 48*38*78
2 voltage 220/50hz
3. Three crushing rollers
4.material
(Stainless)
4. Ipo na 3HP electric motors.
5. Uwezo 300kg kwa saa.bei 1,400,00
Ipo mtoni kijichi, mashine ni mpya kabisa
Hali ilivyo sasa kupata gari jipya ni ngumu sana, wengi tunapata used ndugu mwandishi angalau ungependekeza tujitaidi kutafuta used from Japan ambayo haijatumika sana ila used za kibongo ni hatari,gari imesha shusha engine zaidi ya mara mbili ila unambiwa ni used as new, mbaya zaidi gari zenyewe...
Kwa maelekezo yako mafupi,binafsi naona ana kitu kinachoitwa sonono,hali ya kutokubaliana na jambo lililotokea ile simanzi ya kumpoteza mtoto bado inamuumiza na Ndio inayomfanya hawe mtu wa jaziba,lawama, anahisi dunia imemkatili ni vyema kama ukimtafuta daktari wa akili
Msaada nina honda fit first generation, gari inamiss na kuishiwa nguvu kisha inazima na kuwaka taa ya check engine na taa ya betri baada ya muda inawaka , changamoto inaweza kuwa nini wajuzi na wazoefu
Nilipotazama feni ya ac haiwaki,ila feni ya engine inawaka fundi akanishauli nisitumie ac...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji moja kati ya gari hizi
Toyota vitz, Old au New model
Suzuki swift Old au New model
Mwenye ist na rastic anakaribiswa
bajeti yangu ya 5M nahitaji gari iwe kuanzia namba C iliyo karibu na D na kuendelea.
NAITAJI MMILIKI WA GARI SIO DALALI...
Nauza Mashine ya kukamua na kuchuja alizeti no 120 ,umeme stree phrase, tani 6.5 per 24.bei 26,500,000 ,napatikana kwa namba 0713503753 tupo dar es salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.