Mkuu tuanze kwanza na wewe binafsi unauzoefu wa biashara, pia una penda biashara za aina gani ,kushalisha bidhaa na kuuza kwa jumla au kuuza bidhaa rejareja, au unapendelea biashara za utowaji huduma ,mf upangishaji nyumba, uwakala,usafirishaji ukijuwa itakuwa rahisi kukushauri ufanye Biashara gani