Mkuu namba 1 na namba 2 hapo siyo kwa nchi nzima labda huko kwenu, kwa udhoefu wangu walimu wa shule binafsi wamekuwa wakishiriki katika usimamizi hadi kusahihisha. mbaya zaidi mwaka jana kulikuwa na malalamiko ya kuchukuliwa walimu wengi wa shule binafsi kusahihisha mtihani wa kidato cha nne na...
:frusty: operesheni ya okoa maliasili ni operesheni inayoendeshwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama hapa nchini kwa maeneo yote yaliyo na hifadhi za wanyama na misitu.
baadhi ya watu ambao wamekuwa wakitajwa kujihusisha navitendo vya ujangili ni watumishi wa idara ya maliasili, polisi na...
ina changamoto sana rafiki yangu aliachana na mkewe kwa kesi kama hyo, jamaa shift za usiku haziishi demu hataki kulala peke yake, dem akasema kwa vile siitaji kukusaliti katika penzi bora tuachane nitafute asiye na kazi za namna hyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.