julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Unakuta nyumba moja ina wapangaji zaidi ya watano! Wapangaji hao wanashare luku,bafu,choo,n.k
Sasa imekuwa ni mbaya kwa jamaa mmoja baada ya kujikuta kumbe anashare mke wake na mpangaji mwenzie! jamaa ana mtoto wa miaka mitatu, alipata lifti ya kwenda kijijini alikwenda akalala bahati mbaya mwenye gari aligeuza baada ya siku mbili nje na makubaliano yaliyo kuwepo awali kuwa wange geuza baada ya siku nne ilimbidi naye ageuze! walipo fika Dar ilikuwa usiku kama ilivyo kawaida nyumba yao ina korido moja ya moja kwa moja na pande zote mbili ni vyumba, aliingia na kukuta mlango wa chumba chake umerudishiwa mtoto yumo peke yake! jamaa aliamsha wapangaji wenzake kutaka kujua mke wake kaenda wapi mmoja wa wapangaji hakutaka kufungua! walimtilia shaka mwisho wa siku wakamtuhumu na kuchukua hatua za kuvunja mlango wakamkuta mke wa jamaa kavaa kanga na kinguo cha ndani tu huku mshikaji anaomba msamaha tu!
Hakuchukua hatua zaidi ya kurudi ndani akalala na mwanae huku mke akiwa hapo nje ya mlango wao analia na kuomba msamaha usiku kucha! kesho yake kamrejesha bush.
Naomba watu mliopanga nyumba za namna hiyo kama kuna masingle kuweni makini hamtaishia kushare jiko,choo,bomba la maji, n.k hata mke mtashare!
Sasa imekuwa ni mbaya kwa jamaa mmoja baada ya kujikuta kumbe anashare mke wake na mpangaji mwenzie! jamaa ana mtoto wa miaka mitatu, alipata lifti ya kwenda kijijini alikwenda akalala bahati mbaya mwenye gari aligeuza baada ya siku mbili nje na makubaliano yaliyo kuwepo awali kuwa wange geuza baada ya siku nne ilimbidi naye ageuze! walipo fika Dar ilikuwa usiku kama ilivyo kawaida nyumba yao ina korido moja ya moja kwa moja na pande zote mbili ni vyumba, aliingia na kukuta mlango wa chumba chake umerudishiwa mtoto yumo peke yake! jamaa aliamsha wapangaji wenzake kutaka kujua mke wake kaenda wapi mmoja wa wapangaji hakutaka kufungua! walimtilia shaka mwisho wa siku wakamtuhumu na kuchukua hatua za kuvunja mlango wakamkuta mke wa jamaa kavaa kanga na kinguo cha ndani tu huku mshikaji anaomba msamaha tu!
Hakuchukua hatua zaidi ya kurudi ndani akalala na mwanae huku mke akiwa hapo nje ya mlango wao analia na kuomba msamaha usiku kucha! kesho yake kamrejesha bush.
Naomba watu mliopanga nyumba za namna hiyo kama kuna masingle kuweni makini hamtaishia kushare jiko,choo,bomba la maji, n.k hata mke mtashare!