Alie kwambia mchumba unamtafuta wewe nani kaa jitunze atakuja kwa wakati muafaka. Mchumba anatafutwa huku ndo maana unapata wapigaki halafu unakuja kulia lia huku jf
huu ni mpango mgumu sana kuelewa alikuwa anamwambia nani ila kutoka kwenye hiyo chaper aliyo icot inazungumzia upendo sana sasa sijui marehemu yeye alikuwa upande gani si kazi yetu sasa kuhukumu.
Regards
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.