Jamani naombeni msaa wenu kuhusu nini cha kufanya maana nina tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu inakia kipindi nakaa hadi siku tano sita.
Naombeni utatuzi wa tatizo hili.
Asanteni.
mkuu pumbu erossion na yenywe inasaidia?
naweza kutumia nikiwa na natumia dawa za hospital?
tangu kuanza dozi (dawa za hospital) nina siku kumi ila bado pumbu inawasha na ngozi yake inakuwa soft sana. sijui nini cha kufanya wadau
Mkuu mzizimkavu hili tatizo ni mwaka na nusu sasa
nimewaona madktari na kuwaeleza ila majibu yao ni kwamba labda ni tatizo la kisaikolojia
punyeto sipigi kwa sasa ingawa awali nilikuwa nikifanya hivyo
wakati wa kukojoa asaubuhi siyo mara zote inasimama,hata kama nimebanwa na mkojo haisimami...
Nashukuru kwa members wa jf doctor kwa msaada wanaoutoa kwa post kwa watu wote
mimi ni kijana wa kiume(26) nina tatizo la kutokusimamisha uume niamkapo asubuhi, hali hii nimekuwa nayo kwa sasa (mwaka na nusu) nimejaribu kuwaona madoctor wakawa wana niambia kwamba labda ni mawazo, tatizo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.