Nasikia Kenya wanaassemble magari na wamezindua satellites yao. Wakati hayo yanatokea sisi watz tunashughulika na watu wanaoandika matusi pamoja na wakina nabii Tito! Wao wanapambana kutafuta njia za kujikwamua kiuchumi sisi tunapambana kuwafunga watu midomo wasiseme. Anyways tutafika tu bhana!
Hoja ya msingi ni Kwanini havina nguvu? Kuna nchi zenye vyama vyenye nguvu sana. Kwann vya kwetu havina nguvu? Hakuna aliekuwa na nguvu kama Mkoloni ila aliondoka kwa nguvu ya hoja za watanzania kwa sababu vyama vilikuwa na hoja ya msingi ya kitaifa. Leo vyama vyetu vina hoja moja tu kushika...
Nadhani wengi wanaweza kuchangia mada kwa uchama wao ama wa upinzani ama wa chama tawala. Ninachotaka kusema ni kwamba ili vyama vya upinzani viweze kuwa imara lazima kila anaeingia ndani ya chama ajue kuwa misingi ya chama kama taasisi ni ipi! Ila kama chama kitakosa nguzo kama hiyo wanaoingia...
Tumeshuhudia wapinzani wapinzani wakihamia chama tawala kwa kile wanachodai kuwa ni kusaport juhudi za serikali.
Kwa namna ninavyoona ni kwamba wanasaport kila kitu maana kama mtu anahama kabisa chama cha upinzani na kuhamia chama tawala kwa Maana ya kusaport ni kwamba hakuna cha kupinga tena...
Upinzani ulianza Tanzania mwaka 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza. Hata hivyo mchakato ulianza mwaka 1992 kutokana na mapendekezo ya structural adjustment policy.
Tulishuhudia chama kama NCCR mageuzi kikionesha mabavu sana wakati wa uchaguzi wa 1995 ikapelekea mzee Mrema kuteuliwa kuwa makamu wa...
Nchi zenye ustawi mkubwa wa biashara duniani ni marekani China na japan . hata hivyo nchi zenye uchumi mkubwa sana kwa pato la ndani(GDP) ni marekani China na Japan. Unadhani ni Kwanini? Nchi zenye uzalishaji mkubwa zinaongoza pia kwa biashara. Huwezi kuwa na uchumi wa viwanda bila kustawisha...
Nadhani haya masomo yana umuhimu mkubwa kwa nchi hii kuliko tunavyoyachukulia. Moja ya nchi zilizoendelea kwa kasi sana ni China. Kwa sasa ina uchumi mkubwa na inashika nafasi ya pili baada ya marekani. Kati ya Benki tano kubwa duniani, nne zina toka China. Na Benki ya kwanza kwa ukubwa inaitwa...
Matokeo ya kidato cha pili mwaka 2017 yalitangazwa tarehe 8/1/2017. Matokeo hayo yanaonesha ufaulu mzuri kwa shule za binafsi kuliko shule za umma kwani kati ya shule kumi zilizofanya vizuri Tanzania, zote ni za binafsi.
Hata hivyo kwa shule zilizofanya mitihani ya masomo ya biashara inaonesha...
Hiyo inaitwa conner expansion joint. Haya Majengo ni ya kisasa jamaangu. Maana hayo ma expansion joint hayajawahi kuwekwa kwenye majengo hata ya marekani. Eti mnasema Tanzania haijagundua kitu! Na hizo expansion joint je!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.