Recent content by manuk

  1. M

    Aliniambia ana mtoto mmoja lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano nimegundua ana watoto watano, nifanyeje?

    "amezaa na wanawake tofauti" kama nimesikia vizuri, hapa ni kukimbia bila hata kugeuka nyuma vinginevyo na wewe utafanyiwa kama hao wanawake wengine. Narudia tena usithubutu dada ni kheri uendelee kuwepo kuwepo inshala Mungu atakusaidia umpate mtu sahihi.
  2. M

    Tabora: RC Paulo Chacha amsimamisha kazi Meneja GPSA kwa kutukana wateja

    Kosa Moja halimfukuzishi mke. Cha msingi na muhimu ni taratibu za kiutumishi zifuatwe na asionewe mtu.
  3. M

    Aliyeng'atwa na Nyoka afia Kituo cha Afya kisa hana 150,000 Wilayani Babati

    Mganga mfawidhi badala ya kuwasiliana na wataalamu wake waliopo kituoni awaombe wamhudumie mgonjwa yeye anamwachia mwananchi. Hata kama hayupo kituoni ndo ashindwe kumsaidia mtu, kiukweli mganga mfawidhi hajawajibika.
  4. M

    Samatta, Msuva watupwa nje kikosi cha Taifa Stars kufuzu afcon 2025

    Nimeumia kutomuona kikosini 1. Haji Mnoga
  5. M

    Kuna mafanikio kwa wanaoomba OTEAS

    Habarini wanajamvi Tangu juzi najaribu kuomba nafasi zilizotangazwa na TAMISEMI kupitia OTEAS ila kuweka vyeti ( ku-approad vyeti) imekuwa shida sana. Hebu tupeane uzoefu hapa kuna wanaofanikiwa tangu juzi?
  6. M

    MBEYA: Mwanaume auawa na mpenzi wake baada ya kutaka kumuingilia kinyume na maumbile

    sidhani kama kweli mzee aliomba tigo. Inaweza kuwa njia za kujitetea tu. Huyo mwanamke ahojiwe vizuri na kwa umakikni ili haki itendeke
  7. M

    Wadau tusaidiane maarifa hapa

    Nimekuwa nakutana na sentensi hizi kwenye uandishi wa watu na huwa zinanipa wakati mgumu kujua kama ni sahihi pale mwandishi anapotaka kuelezea wingi wa MPANGO MKAKATI. -MIPANGO MIKAKATI -MIPANGO MKAKATI -MPANGO MIKAKATI -MIPANGO NA MIKAKATI. Je ipi ni sahihi kuelezea wingi wa sentensi "Mpango...
  8. M

    Ndoa bila kitchen party hupelekea ndoa nyingi kuanguka mtaroni wadada inawahusu

    Eti kichen party! Hii tabia ya kupenda kuelekezwa elekezwa na kufundishwa fundishwa isiendekezwe maana naamini kila binadamu amepewa akili na utashi wa kujua jinsi ya kuishi. Cha msingi kujiwekea miongozo na kuishi kwayo (living by your own principles)
  9. M

    Huyu dada simwelewi

    siku hizi waolewaji ni wengi lakini waoaji ni haba sana. Mi nadhani huyo demu kukwambia yuko single haimaanishi kwamba hana mtu hata wa kumchangamsha ila tu hajapata aliye tayari kumuona. Kwahiyo usiwaze ukamfikiria tofauti. Fuata ushauri uliopewa huko juu na uusikilize moyo wako kama umemridhia...
  10. M

    Hivi ni kweli kwamba wanaume wengi wanapenda wanawake weupe?

    Nachizika na wanawake weusi hadi watu wananishangaa
  11. M

    Nazitamani nyakati

    Nautamani wakati mmoja ufike ambapo polisi itakuwa ni taasisi huru ambayo haitakuwa inafanya kazi kwa kusubiria kauli kutoka kwa viongozi wa serikali. Taasisi ambayo mkuu wake itafanya kazi kutokana na taratibu, sheria na kanuni haki ikitawala. Taasisi ambayo itamwajibisha yeyote bila kujali ni...
  12. M

    Rais aonyesha mapenzi makubwa kwa wananchi wa Kahama. Awafundisha jinsi ya kukwepa kodi

    Nilipita Kahama Januari 2017 hii barabara ilikuwa ishakamilika na inatumika. Japo sina uhakika ilikamilika lini angalau kwa maono yangu nadhani ilijengwa kwa bajeti ya awamu ya nne.
  13. M

    Rais aonyesha mapenzi makubwa kwa wananchi wa Kahama. Awafundisha jinsi ya kukwepa kodi

    Nilipita Kahama Januari 2017 hii barabara ilikuwa ishakamilika na inatumika. Japo dina uhakika ilikamilika lini angalau kwa maono yangu nadhani ilijengwa kwa bajeti ya awamu ya nne.
  14. M

    Mbunge Elibariki Kingu: Watu kutekwa na kuuawa ni kawaida, haina haja ya kulipeleka Bungeni

    mimi nimetekwa, hebu jaribu kujiweka ndani ya viatu vyangu
Back
Top Bottom