Recent content by Manton

  1. Manton

    "The Dark Secrets of Education: 10 Terrifying Facts They Never Taught You"

    Education is the only invisible tool that allows you to suffer for years without remedy. If you have any dream, then let education be the last thing to be trusted in the future for your kids. Robots are taking care of it.
  2. Manton

    Madanguro yanayovunjwa na RC wa Dar ni kiduchu kwenye biashara moja kubwa sana

    Bora afanye jambo jingine kama kupambana na rushwa sehemu za umma.
  3. Manton

    Kuna vitu/ngazi zifuatazo elimu, saikolojia, umri na uzoefu

    Kaa ukijua, ujinga wa mwafrika hautokoma hata kama katiba itakuja kuwa na afya nzuri.
  4. Manton

    Hii ni stori ya maisha yangu. Nini ushauri wako kwangu?

    "A rolling stone gathers no moss. Jack of all trades, master of none." Kama suala ni kurogwa hata kwenye ufundi simu utalogwa pia. Endelea ni huduma ya tiba, utazeeka nayo, hiyo mambo ya simu teknolojia itakupindua, haraka ndani ya miaka mitano, ijayo.
  5. Manton

    Spika Ndugai ni mzigo kisiasa, CCM wasikubali kuubeba mzigo huu, amesababisha migogoro mingi sana, hana mvuto tena

    Yaani sisi warundi(watanganyika) wa Tabora wa mwaka 1954, uwa hatuangaiki na kauli za kishamba shamba kama hizi.
  6. Manton

    Matukio yaliyotikisa Tanzania mwaka 2021

    Tukio la Colabo ya Mobeto na RR, lingesimama namba moja.
  7. Manton

    Another dilemma

    From now on call that toxic relationship off, and the worst won't bother you, since she doesn't love you any longer. Let the past alone, don't drag it into a present situation.
  8. Manton

    Serikali iteue tume ama kamati ya maadili ya waganga wa kienyeji

    Ikiundwa na kamati ya maadili ya wachawi, wala rushwa, wabambikizia kesi raia wema, itapendeza zaidi.
  9. Manton

    Ajali za kufunga mwaka na kufungua mwaka uacha makovu makubwa ya moyo na nafsi kwa watoto.

    Niliwahi kushuhudia familia ikipoteza baba na mama kwa wakati mmoja katika ajali ya gari wakiwa wanatokea kula Krismasi na mwaka mpya, kijijini kwao, wakati huo watoto wao wa pekee (mapacha), walikuwa wamebaki shuleni (skuli ya wazazi na walezi wenye kipato cha kati) wakifanya maandalizi ya...
  10. Manton

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    He is well known as a covid-19 skeptic Tanzanian president, after fruits (pawpaw and jack fruit) being tested positive. Not mentioning his assassins, how they feel now, after the whole truth being out?
  11. Manton

    Rais Samia anao uhalali wa kisiasa, kisheria na kikatiba kushika wadhifa wa Urais

    Madudu ni Mengi. Kuongoza watu siyo kazi ndogo. Mama Samia ni mzuri wa sura na roho. Ukiyajua yaliyoko nyuma ya pazia, utampenda tu, kama ambavyo nimeamua kumpenda kwa dhati mama huyu.
Back
Top Bottom