Recent content by Manton

  1. Manton

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Chenji: Kero kwa Wanunuzi na Wafanyabiashara

    Umefanya vema, kuhainisha na chanzo, cha tatizo. Wahusika wawajibishwe kisheria, na mamlaka husika yang' Hili ni tatizo kubwa kiuchumi.
  2. Manton

    JamiiForums Tanzania "The Dark Secrets of Education: 10 Terrifying Facts They Never Taught You"

    Education is the only invisible tool that allows you to suffer for years without remedy. If you have any dream, then let education be the last thing to be trusted in the future for your kids. Robots are taking care of it.
  3. Manton

    JamiiForums Tanzania Madanguro yanayovunjwa na RC wa Dar ni kiduchu kwenye biashara moja kubwa sana

    Bora afanye jambo jingine kama kupambana na rushwa sehemu za umma.
  4. Manton

    JamiiForums Tanzania Kwa ufaulu huu wa Hisabati wa 19.54% tutarajie wachumi kuwa janga la taifa

    Hata kukata "uno" kuna hitaji hesabu!
  5. Manton

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu/ngazi zifuatazo elimu, saikolojia, umri na uzoefu

    Kaa ukijua, ujinga wa mwafrika hautokoma hata kama katiba itakuja kuwa na afya nzuri.
  6. Manton

    JamiiForums Tanzania Hii ni stori ya maisha yangu. Nini ushauri wako kwangu?

    "A rolling stone gathers no moss. Jack of all trades, master of none." Kama suala ni kurogwa hata kwenye ufundi simu utalogwa pia. Endelea ni huduma ya tiba, utazeeka nayo, hiyo mambo ya simu teknolojia itakupindua, haraka ndani ya miaka mitano, ijayo.
  7. Manton

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai ni mzigo kisiasa, CCM wasikubali kuubeba mzigo huu, amesababisha migogoro mingi sana, hana mvuto tena

    Yaani sisi warundi(watanganyika) wa Tabora wa mwaka 1954, uwa hatuangaiki na kauli za kishamba shamba kama hizi.
  8. Manton

    JamiiForums Tanzania Matukio yaliyotikisa Tanzania mwaka 2021

    Tukio la Colabo ya Mobeto na RR, lingesimama namba moja.
  9. Manton

    JamiiForums Tanzania Another dilemma

    From now on call that toxic relationship off, and the worst won't bother you, since she doesn't love you any longer. Let the past alone, don't drag it into a present situation.
  10. Manton

    JamiiForums Tanzania Serikali iteue tume ama kamati ya maadili ya waganga wa kienyeji

    Ikiundwa na kamati ya maadili ya wachawi, wala rushwa, wabambikizia kesi raia wema, itapendeza zaidi.
  11. Manton

    JamiiForums Tanzania Ajali za kufunga mwaka na kufungua mwaka uacha makovu makubwa ya moyo na nafsi kwa watoto.

    Niliwahi kushuhudia familia ikipoteza baba na mama kwa wakati mmoja katika ajali ya gari wakiwa wanatokea kula Krismasi na mwaka mpya, kijijini kwao, wakati huo watoto wao wa pekee (mapacha), walikuwa wamebaki shuleni (skuli ya wazazi na walezi wenye kipato cha kati) wakifanya maandalizi ya...
Back
Top Bottom