Recent content by Mantombazane

  1. Mantombazane

    Hivi ni kwanini CCM hawajazi nafasi iliyoachwa wazi na Kinana?

    Wanatafuta mstaafu mwingine wamwombe awasaidie. Hawa huwa hawazalishi viongozi damu changa wao wanategemea wahamiaji kutoka chadema
  2. Mantombazane

    Starehe zote za hii dunia ni ubatili na hasara tu

    Huo siyo uovu kwanini unihikumu? Mfalme Suleimani alikuwa na wake700 na vimada 300na Mungu alimpenda sana hadi akampa hekima atawale kwa haki. Wewe unanini cha kujutia?
  3. Mantombazane

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari. Naomba kujua inakuwaje watu wanajenga majengo chini ya nyaya za umeme mkali bila kuchuliwa hatua zozote? Nimeona haya maeneo mengi lakini lililonitisha nikuona mpaka shule nayo imejngwa chini ya nyaya za umeme wa msongo mkubwa. Hapo Dsm nimeona shule moja ya msingi pale Mbezi Msuguli...
  4. Mantombazane

    Yah:kuibiwa usiku wa tarehe 3.09.2024

    Roga au piga kurujuani
  5. Mantombazane

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari. Bei ya kuunganisha umeme pembezoni mwa miji ambako ni sawa na kijijini ni shilingi ngapi? Maana ndugu yangu ameomba umeme hapo Igingilanyi Iringa mpakani na Nduli ambako watu wamehamia baada ya kuhamishwa na upanuzi wa uwanja wa ndege lakini amepewa bill ya malipo ya manispaa. Naomba...
  6. Mantombazane

    Waziri Nape kuzunguka nchi nzima kwa helikopta kuhamasisha zoezi la anuani ya makazi. Viongozi wetu kuna shida mahali

    Ni muda wa kupiga hela. Mama kesha waruhusu kula hata nje ya kamba yao. Mafisadi wote wamesharudi serikalini
  7. Mantombazane

    Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

    Ndege ni za Tanganyika zinapokelewa Zbar. Ajabu!
  8. Mantombazane

    Msemaji wa Serikali umedanganya; tuzo ya Nobel haijaenda kwa Raia wa Tanzania

    Mdesi sana huyo mbena manga. Agaya luhala mpuva
Back
Top Bottom