Huo siyo uovu kwanini unihikumu? Mfalme Suleimani alikuwa na wake700 na vimada 300na Mungu alimpenda sana hadi akampa hekima atawale kwa haki. Wewe unanini cha kujutia?
Habari. Naomba kujua inakuwaje watu wanajenga majengo chini ya nyaya za umeme mkali bila kuchuliwa hatua zozote?
Nimeona haya maeneo mengi lakini lililonitisha nikuona mpaka shule nayo imejngwa chini ya nyaya za umeme wa msongo mkubwa. Hapo Dsm nimeona shule moja ya msingi pale Mbezi Msuguli...
Habari. Bei ya kuunganisha umeme pembezoni mwa miji ambako ni sawa na kijijini ni shilingi ngapi? Maana ndugu yangu ameomba umeme hapo Igingilanyi Iringa mpakani na Nduli ambako watu wamehamia baada ya kuhamishwa na upanuzi wa uwanja wa ndege lakini amepewa bill ya malipo ya manispaa. Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.