Chadema iko MOSHI tatizo hamlijui kwenye siasa za Tanzania hakuna upinzani kuna fulsa tu ilipo unaifata ndomana mtu akikosa huku anahamia huku kama kina Lowasa msindai na hii ya kujiona chadema ni bora kuliko vyama vingine mtaishia kutawaliwa na ccm siku zote ACT chadema CUF NCCR hakuna Chama...
Polisi wa bongo shida kila muislam gaidi hivi waislam wakiamua kuna polisi wakudhibiti bado tunaishi kiundugu ila tunapo elekea so kuzuri polisi badilikeni
DJ mbowe juwa ya saccos yako CUF haiendeshwi kama chadema saccos ukisema wote wanafata CUF ni haki Sawa kwa wote Sasa tunamsubiri Lisu mahakamani tukampe aibu
Sasa aibu imefika mahakamani ndo kuzuri wanachama ndo wenye Chama hakuna yoyote mwenye nguvu kuliko wanachama Lipumba ni mwenyekiti halali wa CUF nyie hangaikeni mtutalia
Chama chetu kiko salama na ofisi iko salama na mwenyekiti anaendelea na majukumu yake kama kawaida puuzeni tarifa zinazotoka pale ufipa kinondoni wanachama ndo wenye maamuzi ya mwisho kwenye Chama kwahiyo ITV kazi waliyo pewa na Mbowe kutengeneza propaganda ipuuzeni haki Sawa kwa wote
Huyu mtatiro anamatatizo sana chadema kupitia umoja wa kinafiki ukiwa waliosababisha ashindwe ubunge kwa kumuwekea mgombea akatukana leo wamekuwa ndugu zake aende ufipa akapewe cheo Lipumba ni mwenyekiti halali wa CUF
Mbona magufuli ndo mkuu wa nchi na nikwao hajaenda tetemeko so Lazima kila mtu aende mwambie mwijage muhaya mwenye zamana ya viwanda awasaidie kujenga kiwanda si mepewa mawaziri wengi Kanda ya ziwa wawasaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.