Zitto ni mtetezi hewa wa Watanzania

Zitto ni mtetezi hewa wa Watanzania

Mbona magufuli ndo mkuu wa nchi na nikwao hajaenda tetemeko so Lazima kila mtu aende mwambie mwijage muhaya mwenye zamana ya viwanda awasaidie kujenga kiwanda si mepewa mawaziri wengi Kanda ya ziwa wawasaidie
 
Yawezekana anajipanga kwenda huko. kwani hata wengine si ndio wameenda leo? pili huko kuna hayo majanga ambayo yamewapata watu wanahitaji msaada sio maneno matupu may be anajipanga kifedha ndio aje huko! na pia hakuna deadline ya kuwaona wahanga hao kwahiyo msimhukumu dogo ataenda tu
 
Mi naona wewe ndiye hujui zitto kama ni mzalendo kweli alitakiwa hawe pale
nakuona kila kukicha unamuota Zitto tu. huyo Zitto kakukosea nini? kama ni kwenda huko bukoba hata viongozi wakubwa kabisa kama lowassa leo hii ndo tumeona wameshuka kwenye pangaboy na lema wakenda huko. mbona huhoji akina rais ambao wao wanakusanya na kodi kabisa na hawajafika huko wala akina mkapa, Kikwete na wengine wengi? wewe umemuona Zitto tu? sidhani kama ni hivi hivi, una lako jambo wewe.
 
nakuona kila kukicha unamuota Zitto tu. huyo Zitto kakukosea nini? kama ni kwenda huko bukoba hata viongozi wakubwa kabisa kama lowassa leo hii ndo tumeona wameshuka kwenye pangaboy na lema wakenda huko. mbona huhoji akina rais ambao wao wanakusanya na kodi kabisa na hawajafika huko wala akina mkapa, Kikwete na wengine wengi? wewe umemuona Zitto tu? sidhani kama ni hivi hivi, una lako jambo wewe.
Yangetokea kasulu asingeenda ?
 
Yangetokea kasulu asingeenda ?
umejuaje hataenda? kwani wabunge wote wameshaenda huko? au umemuona Zitto tu. nimekupa mifano mingi tu hata huyo lowassa unayempenda saaaana ndo kwanza kaenda leo. mbona kichwa ngumu sana wewe. nasema sio hivi una lako jambo wewe
 
Zitto Kabwe pamoja na kutoka Kanda ya ziwa maafa ya Bukoba hajatia mguu Kagera. Zaidi ya kutoa pole kwenye fecebook. Hivi anafikiri maafa kama yameweza kuikuba Bukoba hayawezi ikumba Kigoma?

Wakati yote ni Kanda ya ziwa na Kigoma kwenye ziwa Tanganyika ambalo ni lift valley lake. Na yeye mkoa Jirani na kwake ni Bukoba.

Je ikitokea kwenye jimbo lake hataenda pia?

Kwanini anajifanya ni mtetezi wa watanzania wakati ni tapeli hatumuoni kwenye maafa?

Huyu kweli ni mtetezi hewa wa Tanzania.

Utamukuta Facebook tu akijisifia, akiisifia ACT, au kumsifia meya wa kigoma;
Zitto ni mnafiki kweli sio mtu wa kumuamini tena, labda nimkumbushe tu Tanzania ni yetu sote iwe Bukoba Kigoma Mtwara wote ni ndugu na janga linaweza tokea sehemu yeyote.

View attachment 405539View attachment 405541
pole sana bado tu mnaamwandama mtoto wa mwenzenu, amewaachia chama chenu cha kikabila na kiukanda amehamia chama alichoona yeye kinamfaa hamuishi kumfuatafuata ongeleeni ya kwenu msifuate ya watu.
Masahihisho ZZK hatokei kanda ya ziwa, anatokea kanda ya magharibi
 
Ule utafiti wala hawakukosea waliposemaaa, "ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA, WANATUMIA ASILIMIA 1 TU (1%) YA UBONGO WAO KUFIKIRIA.
 
pole sana bado tu mnaamwandama mtoto wa mwenzenu, amewaachia chama chenu cha kikabila na kiukanda amehamia chama alichoona yeye kinamfaa hamuishi kumfuatafuata ongeleeni ya kwenu msifuate ya watu.
Masahihisho ZZK hatokei kanda ya ziwa, anatokea kanda ya magharibi
Unajua kigoma na bukoba ni km ngapi?
 
Zitto Kabwe pamoja na kutoka Kanda ya ziwa maafa ya Bukoba hajatia mguu Kagera. Zaidi ya kutoa pole kwenye fecebook. Hivi anafikiri maafa kama yameweza kuikuba Bukoba hayawezi ikumba Kigoma?

Wakati yote ni Kanda ya ziwa na Kigoma kwenye ziwa Tanganyika ambalo ni lift valley lake. Na yeye mkoa Jirani na kwake ni Bukoba.

Je ikitokea kwenye jimbo lake hataenda pia?

Kwanini anajifanya ni mtetezi wa watanzania wakati ni tapeli hatumuoni kwenye maafa?

Huyu kweli ni mtetezi hewa wa Tanzania.

Utamukuta Facebook tu akijisifia, akiisifia ACT, au kumsifia meya wa kigoma;
Zitto ni mnafiki kweli sio mtu wa kumuamini tena, labda nimkumbushe tu Tanzania ni yetu sote iwe Bukoba Kigoma Mtwara wote ni ndugu na janga linaweza tokea sehemu yeyote.

View attachment 405539View attachment 405541
UTAKUA UMETUMWA,, KWANI LAZIMA KILA MTU AFIKE,, WE BOGUS KWELI.................................
 
Zitto Kabwe pamoja na kutoka Kanda ya ziwa maafa ya Bukoba hajatia mguu Kagera. Zaidi ya kutoa pole kwenye fecebook. Hivi anafikiri maafa kama yameweza kuikuba Bukoba hayawezi ikumba Kigoma?

Wakati yote ni Kanda ya ziwa na Kigoma kwenye ziwa Tanganyika ambalo ni lift valley lake. Na yeye mkoa Jirani na kwake ni Bukoba.

Je ikitokea kwenye jimbo lake hataenda pia?

Kwanini anajifanya ni mtetezi wa watanzania wakati ni tapeli hatumuoni kwenye maafa?

Huyu kweli ni mtetezi hewa wa Tanzania.

Utamukuta Facebook tu akijisifia, akiisifia ACT, au kumsifia meya wa kigoma;
Zitto ni mnafiki kweli sio mtu wa kumuamini tena, labda nimkumbushe tu Tanzania ni yetu sote iwe Bukoba Kigoma Mtwara wote ni ndugu na janga linaweza tokea sehemu yeyote.

View attachment 405539View attachment 405541

Maalim Seif vipi na yeye alikwenda?? Vipi Lissu alitia maguu?? Halima Mdee naye vipi??? Katibu mkuu wa Ufipa hivi anatokea wapi vile?? Na yeye alitia maguu??
 
Mpaka nafika post Na. 71 sijaona ulipompa nauli zitto! Povu tu! Kweli uanaume mgumu!
 
Back
Top Bottom