maalim Seif ni MTU mpenda madaraka na ndio aliomshawishe mzee Jumbe kudai serikali tatu yeye akazunguka kwa mwalim Nyerere kumchongea mzee Jumbe
mpaka Leo kelele za serikali tatu ni ushawishi wa seifu kama ni upemba shein ni Mpemba orijino sefu in photo copy
wala hatishi ila wanamsikitikia mauvo yake juzi nilikutana na mfuasi wake wa karibu wa lowasa nikamuuliza kuhusu lowasa akaniambia hana pesa imeisha unaona chadema ipo kimyaaa
migogoro ya ardhi ni sawa na nati iliyofungwa na migongo imekufa.
na ni hatari watu kudhurumiwa mwisho itafikia hali ya usalama kutoweka.
mtu hawezi kudhurumiwa na mahakama kuvuruga kesi za ardhi ili mnyonge akose haki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.