Recent content by mansoorsaid

  1. M

    Tetesi: Siri imefichuka CUF

    lipumba hajatumwa na cuf lipumba katumwa na wanacuf wote wa bara
  2. M

    Seif Shariff Hamadi agoma kumpa mkono wa salamu Rais Dkt. Shein!

    maalim Seif ni MTU mpenda madaraka na ndio aliomshawishe mzee Jumbe kudai serikali tatu yeye akazunguka kwa mwalim Nyerere kumchongea mzee Jumbe mpaka Leo kelele za serikali tatu ni ushawishi wa seifu kama ni upemba shein ni Mpemba orijino sefu in photo copy
  3. M

    Lowasa anatisha jamani !!

    wala hatishi ila wanamsikitikia mauvo yake juzi nilikutana na mfuasi wake wa karibu wa lowasa nikamuuliza kuhusu lowasa akaniambia hana pesa imeisha unaona chadema ipo kimyaaa
  4. M

    Kauli fupi ya CHADEMA tulipoulizwa na waandishi kuhusu hao waliorudi CCM

    mkiambiwa maendeleo mazuri ya barabara elimu afaya yameletwa na CCM hamtaki leo unaijadili CCM hii ni kazii kwelikweli
  5. M

    UKAWA wagomea mwaliko wa CCM

    ukawa lazima wanaona aibu toka mfumo wa vyama vingi uanze CCM imeshabadilisha wenyeviti wanne pamoja anafuatia sasa. lakini wenyeviti wa ukawa toka wameanzisha vyama wenyeviti walewale
  6. M

    Mbowe atangaza UKAWA kutokuwa na Imani na Naibu Spika, hawatohudhuria vikao vitakavyoongozwa nae

    haya #wakimataifa unasikia matusi ya wanywa viloba?
  7. M

    Mbowe atangaza UKAWA kutokuwa na Imani na Naibu Spika, hawatohudhuria vikao vitakavyoongozwa nae

    ukawaaa walikuwa mabingwa wa fedhuri bungeni wakajiona wanauwezo hata wa kuongoza nchi
  8. M

    Ule uhuru wa mbunge bungeni linavunja maadili

    na ndio maana wabunge wanaingia ukumbini wengi wamelewa
  9. M

    Upinzani ni kama vinyago vya mpapure

    ukawa njooni huku #wakimataifa anawaita kinyago wa mpapure mje mumjibu
  10. M

    Upinzani ni kama vinyago vya mpapure

    uzuzu upi sasa kiongozi mkubwa analalamika kwa askofu utumbuaji majipu ni uonevu kweli
  11. M

    Mfumo wa GPA wafutwa na Waziri Ndalichako

    mimi sijajua ni vigezo vipi JPM kumteuwa ubunge na kumpa uwaziri wa elimu. ngoma ikivuma mwishowe kupasuka
  12. M

    Kudhulumiwa. ardhi wizara ifanye kazi ya ziada

    migogoro ya ardhi ni sawa na nati iliyofungwa na migongo imekufa. na ni hatari watu kudhurumiwa mwisho itafikia hali ya usalama kutoweka. mtu hawezi kudhurumiwa na mahakama kuvuruga kesi za ardhi ili mnyonge akose haki
  13. M

    UKAWA Wavunjika Rasmi

    huyu Lizaboni katika watu wa jf akitoa mada sina shaka naye kwa habari zake ni za uhakika wala hazina figisufigisu
Back
Top Bottom