Recent content by Manoah

  1. M

    Spika Ndugai akiambatana na Wabunge 10 wafika Bandarini Dar mapema leo kugagua Kontena zilizozuiliwa

    Naona ndugai atafanya kitu tofauti, anamisimamo kama kiongozi. Let's wait and see
  2. M

    Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?

    Makonda aweke vyeti mezani That's all. Aoneshe vyeti. Kwani bei gani Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
  3. M

    Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ahudhuria Ibada KKKT Kimara; hataruhusu Dar kuwa lango la Madawa

    WanaJF Naomba kuuliza. Ivi NECTA hawalioni Suala la Bashite? NECTA hawaoni kuwa cheti kinachosemekana kutumika na mtu sio chake? TCU kama wasimamizi wa Elimu ya juu hawaoni haja ya kuyafuatilia haya? I'm confused kwa kweli.
  4. M

    Makonda: Nisemeni, mkichoka mtanyamaza

    Nchi gani hiyo wanakubali mwizi wa cheti? Hatuna shida na Bashite na matokeo yake, tatizo ni kutumia jina la mtu. FORGERY! Hakuna nchi inayokubali kiongozi aliyeforge na kupita njia za panya. He doesn't qualify to be whom he is.
  5. M

    Watu wanamjaribu Rais Magufuli kupitia Makonda

    Bila shaka, ipo haja
  6. M

    Watu wanamjaribu Rais Magufuli kupitia Makonda

    Pole mkuu, ukitulia isome mkuu. Mwandishi amedadavua vema
  7. M

    Watu wanamjaribu Rais Magufuli kupitia Makonda

    Nimependa maelezo ya huyu Ndugu, makonda atoe vyeti vya form four vyenye Jina lake halali, atueleze shule aliyosoma kama Makonda na walimu waliomfundisha. Aeleze japo classmates wake.
  8. M

    Watu wanamjaribu Rais Magufuli kupitia Makonda

    WATU WANAMJARIBU RAIS MAGUFULI KUPITIA MAKONDA Rais John Magufuli alipata kueleza kuwa yeye hajaribiwi, hata mimi naamini kuwa Rais wangu hajaribiwi. Rais wangu Magufuli yupo tofauti sana, mwenyewe alishasema hivyo. Ninachompendea Magufuli wetu ni kuwa hajui kuremba. Hana kawaida ya...
  9. M

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    labda useme ulimfahamu akiitwa Paul Makonda tangu akiwa std 7. ila historia ya jina Paul Makonda imeanza baada ya kumaliza kidato cha nne. ila akiwa Pamba Secondary, hakuitwa Paul makonda. Msikilize vizuri Gwajima
  10. M

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Na ndivyo alivyosema Gwajima. jina bashite limeanza kutumika wakati akisoma chuo cha uvuvi certificate. kurudi nyuma, unapata mtu anayeitwa Daudi Bashite. Yaani jina Paul Makonda lilianza kutumika baada ya kuzungusha form four. na kwa mujibu wa Gwajima, alichukua kwa mtu.
  11. M

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Sure, Suala ni form four alipataje Kupata zero sio siri.
Back
Top Bottom