Recent content by Manndoza

  1. Manndoza

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Tanesco: Mpango wa usambazaji umeme vijijini (REA) umekumbwa na ubadhirifu na rushwa

    Mmojawapo wa jamaa ni Kelvin Martin Ulio, kuna kipindi alifanya Kibaha Pwani, wakamtema coz hakuwa na vigezo vya elimu, sasa msikaji wake akamfanyia mpango Tabora Mjini
  2. Manndoza

    JamiiForums Tanzania DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Jamani maeneo ya Ubungo Msewe(Golani kwa Muya), maji hayajatoka wiki ya tatu sasa, watu wanaishi kwa taabu sana na kuna ujumbe unatumwa kwa wateja wawe wavumilivu eti umeme mdogo. Mnataka watu wafe kwa kipindupindu? Mbona maeneo mengine ya jiji maji yanatoka kila siku, ikiwezekana wafungieni nao...
  3. Manndoza

    JamiiForums Tanzania Baby ntumie Laki niende Saluni

    Hakuna namna
  4. Manndoza

    JamiiForums Tanzania Kilomoni kuzuia hati za Simba haitusumbui atakufa tu asema CEO wa Simba Magoli

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  5. Manndoza

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Tanesco: Mpango wa usambazaji umeme vijijini (REA) umekumbwa na ubadhirifu na rushwa

    Mkoa na kitengo kimetajwa kilichobaki kazi ni kwenu
  6. Manndoza

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Tanesco: Mpango wa usambazaji umeme vijijini (REA) umekumbwa na ubadhirifu na rushwa

    Ni mara chache kusikia hili shirika likisifiwa, kwenye ajira ndiyo kabisaaaa wanaajiri kiundungu matokeo yake wanakwamisha utendaji wa shirika. Mfano Tabora Mjini kitengo cha stoo panalalamikiwa mno kuwa wameajiri watu ambao hawajasomea mambo ya stoo na kuacha wale wenye sifa na vigezo vya kazi...
  7. Manndoza

    JamiiForums Tanzania Tangawizi bandia sokoni

    Baadhi ya wafanyabiashara hasa wa tangawizi wamekuwa wakiuza viazi vinavyofanana na tangawizi na kuwauzia wateja wao. Viazi hivyo havina harufu yoyote wala ukali wa tangawizi. TFDA fuatilieni suala hilo kabla halijaleta madhara katika jamii yetu, kwasababu ukiangalia kwa macho ya kawaida...
Back
Top Bottom