kisio
Member
- Apr 30, 2017
- 13
- 4
Walichotufanyia hao Rea hapa chalinze kitongoji cha mbala ni maajabu, ramani ya mradi inaonyesha kitongoji cha mbala umeme utasambazwa km 5,akaja mkandarasi akaanza kuweka alama sehemu nguzo zitapita, baadae wakaja na kuanza kuchimba mashimo cha kushangaza nguzo zikawekwa sehemu chache na kusema mradi umefupishwa, hadi Leo tumebaki na mashimo ya nguzo na waziri nasikia ameshazindua kwa hizo nguzo chache, kama vp mje kufukia mashimo yenu arobaini na moja mliyoacha