Kunakitu ulikosea Kama mwanaume hutakiwi kila unachofanya mkeo ajue .2kama unataka kukopa bank hakikisha una acha nyumba moja utakuja kunishukuru badae kingine we mkanye kama hataki kamahataki mpetaraka mgawane Mali hapo Ndio uta uona umhimu Wa namba moja
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/jengo-la-tanesco-ubungo-lapigwa-x-2877414
Shida ilikua hivi mwenye hilojengo ali msemavibayasana maana tanesco hilojengo walikodi zingatia lilipovunjwa kuna mwana ccm alikua Chadema aka rudi ccm je umemjua
Usicjokijua nihiki akiwa nyumbani kwao utamwita dada au kwajina na utaendakwake kwa heshima huyo huyo ukimkuta bar utataka kumshikatako hata bila ridhaa yake ukimkuta ambiance usiku una mwuliza show shingapi Sijui umenielewa nacho maanisha (mazingira unayomkuta Ndio una m judge) unaezakutana...
Hospital gani utaenda kutibiwa usilipie kwanza tenakama za serikali mhuuu sijajua hospital binafsi .ila nacho jua ni kua baada ya kulipia mwazoni kuna gharama zingine labda hikikimeisha kinatakiwahiki wanakuongezea kwenye bili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.