Habari wakuu poleni na majukumu..Nina simu yangu HTC DESIRE niliinunua kwa mtu kama miezi mitatu iliyopita na nikawa naitumia kama kawaida. CHA AJABU leo jioni nilivyoingia Facebook simu ikaji-RESTART halafu kuna namba ngeni ikawa inapiga lakini nilivyotaka kupokea ikagoma ikajizima tena na...
Duh! Uume, kifaranga, whatsap, tiss...nimefikilia weeee HATA SIJAELEWA kamaanisha nini yani..aliyeelewa aandike hata kwa KICHINA basi kama kiswahili kimekuwa kigumu hivi sikuizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.