Recent content by manjavila

  1. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

    Bushushu,
  2. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

    Shy town
  3. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

    Mm naitaj,sema nipo mbali
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilikuwa sina hela, ila nilimwambie mchumba aje geto na kweli kaja nakaondoka bila kumpa hata pesa

    Yule mke wako ,,rafk wa mama jen haujamrudia tu
  5. M

    JamiiForums Tanzania TFF/bodi ya ligi mjifunze CAF kiongozi ujue kuheshimu kanuni na sheria mnazotunga..Muwe na msimamo.. Msitie aibu tena viva CAF

    Tukiacha unafik na ushabik Kwa ili caf wamekua kama bodi ya ligi na tff,,na wametuonyesha wenye mamlaka wakiamua basi limeisha
  6. M

    JamiiForums Tanzania Simba fanyeni maboresho ya kikosi vinginevyo tarehe 08 Machi 2025 tunakwenda kumpa ubingwa Tena Yanga

    Sasa ndugu marekebisho gani ya wiki,,,yule kocha ule muda aliokua anashangilia na mashabik ni muda ambao alitakiwa afanye sub ikiwemo ya zimbwe
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kapombe na Zimbwe ndio watakao mfukuzisha kazi kocha Fadlu

    Kuna ,timu ya simba na man united izo timu za kijinga sana miaka hii ,,ukizifuatilia chanzo chake viongozi nilizipuuza baada ya kuona viongozi wenyewe hawataki ziendelee
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

    Nje ya mada,,,nisadie jambo moja iv pale alhamza kulikua nn au ilikua nn,,,maana kipind nakua nilikua nasikia ilo jina na kupita pale,,Leo nimesoma hii comment nimekumbuka,,mm nimekulia buguruni kwa mnyamani ila miaka ya 2003 kuja juu nilikua sina ufaham na ilo jina
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau Mercy anamkakati wa kuni-win

    Sawa lolo
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kuna kundi la watu fulani kwasababu ya ushabiki wao wanaichukulia USA poa

    Upo siliasi kwel na ili swali
  11. M

    JamiiForums Tanzania Simba isiposhinda Derby ya tarehe 19 itakuwa ni uzembe mkubwa sana kwao

    Ukiwa na timu au wachezaji wazuri,huitaji sijui muunganiko sijui program, sijui wachezaji hawajazoea, izo sababu ni ishara Hauna wachezaji au timu,, ukiwa na wachezaji wazuri mnapgiana simu tu na anapigwa mtu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tuwakumbuke mastaa waliovuma Bongo miaka ya 2000 mpaka 2010

    Angel akilimali , sakina abdul masud , sigol paul , mpakigwa fredy, wako wap sijui , kutoka uhuru fm ,redio yangu bora kabisa kwa wakat huo pamoja na rfa Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mapinduzi Cup imeoza, mshindi amepangwa. Rwanda kutoshiriki tena? Simba inatolewa leo kwa Maelekezo?

    Mpira wa miguu ,kama maisha tu makosa yapo kila siku hakuna cha maelezo wala nn ,wapi ambako mpira unachezwa ukakosa makosa ,uko ktk mpra kwel yamewashinda wakabuni visaidizi na bado matatzo na makosa yako kila siku ..,, au hao apr watakua tayr kukir kwamba tokea waanzishe timu hawajai kukosewa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Utani Wenye Ukweli Kwa SIMBA: Huwezi kuchukua Gongo kutoka kwenye kopo la Maji-Poa ukaiweka kwenye chupa ya Bia halafu useme unakunywa bia

    Yule kocha wa viwango ,,,,ila ukiniambia shida ya simba haikua kocha nitakuelewa ,,,, simba ina shida mbil tu ,,, uongozi ,ambao umezaa tatzo la pili wachezaji .
Back
Top Bottom