Nje ya mada,,,nisadie jambo moja iv pale alhamza kulikua nn au ilikua nn,,,maana kipind nakua nilikua nasikia ilo jina na kupita pale,,Leo nimesoma hii comment nimekumbuka,,mm nimekulia buguruni kwa mnyamani ila miaka ya 2003 kuja juu nilikua sina ufaham na ilo jina