Recent content by manjanjagara

  1. manjanjagara

    Tundu Lissu: Mawakala wa mabwanyenye waliosababisha ndege yetu ikamatwe Canada ni akina nani hasa? Ukweli huu hapa

    Lissu sio mzalendo kwan kwann usivunjwe mkataba kama ujenzi haufanywi kama vile inavostahili?kwann watuchezee?lazma ifikie wakat yafanyike maamuzi magumu kama ya waziri wa kipindi hicho rais wa sasa tz,wanasheria mngejua mngepongeza tusiwe tunachezewa chezewa vile
  2. manjanjagara

    BAKWATA na Waislamu wengine, kila kitu kinachofanywa na Serikali kiko sawa kwenu?

    Sadaka hamna makanisani kwa nn wasipambane. Na magu
  3. manjanjagara

    BAKWATA na Waislamu wengine, kila kitu kinachofanywa na Serikali kiko sawa kwenu?

    Ndio sisi sio chama cha siasa kama walivyo maaskofu
  4. manjanjagara

    Taasisi ya dini inavyojipotezea heshima nchini Tanzania!

    Maaskofu imekuwa nwchoni mwa vya siasa?eti maaskofu wanaingia mgogoro na serikali do sijawahi kusikia
  5. manjanjagara

    Mameya wa CHADEMA jijini Dar Es Salaam wafanya ziara Arusha, Meya Dar amchana Lema kimtindo

    Mfano wa kuigwa kwenye maendeleo mambo ya kiitikadi yawekwe pembeni,lema amezidi yaan lile ni cjui ni mtu wa namna gani kwan yaonesha hakudeserve kuwa mbunge
  6. manjanjagara

    Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

    Non of your bussiness kujua nani aende wapi?kama kila mtu angestahiki hyo mamlaka ni ww ndo ungeenda sasa heshimu
  7. manjanjagara

    Rais Magufuli aingilia uhuru wa Mahakama, aagiza Jaji Mkuu amalize kesi za kodi Serikali ipate hela zake mapema

    Mm nathubutu kusema katika mihimili hii mahakama baana wanahitaji kubanwa sana kwan wengi wao ni wenye kuangalia maslahi zao binafsi,walalahoi wengi wananyimwa haki zao
  8. manjanjagara

    Rais Magufuli aingilia uhuru wa Mahakama, aagiza Jaji Mkuu amalize kesi za kodi Serikali ipate hela zake mapema

    Bora umenisaidia maana nilikuwa napitia comments za mabongolala nyingi hapa hawajui muhimili mama?kila kitu wanakipeleka kisiasa tuuu ebu badilikeni 2015 uchaguzi mkuu saiZ chapa kazi 2020 itakuja tu so soon
  9. manjanjagara

    Pamoja na umaarufu alionao Wema Sepetu kwanini hana maendeleo yoyote, Anakwama wapi?

    Anahitaji chakula cha ubongo ila sema tatzo hajitambui kamwe cjui nn tufanye ila huwa hawajitambuagi hawa watu
  10. manjanjagara

    CCM, vita mliyoianzisha ya kupambana na makanisa hamtoishinda

    Tatzo makanisa mnajiingizaje kwenye siasa hali ya kwamba majumba ya ibada yahubiri maagizo ya mungu tu na si siasa
  11. manjanjagara

    Askofu Pengo: Sikufahamu kuhusu waraka wa Kwaresma wa Baraza la Maaskofu Katoliki. Awaasa wasichanganye dini na siasa

    Msema kweli siku zote hawezi pendwa mnataka awe mnafiki kama ninyi tu
Back
Top Bottom