Saikolojia: Fahamu tabia ya hasira, madhara yake na namna za kuishinda

Ni kweli Mchezo wa Ngumi strategic zake ni kumpandisha hasira opponent wapo.. .....ndio sababu kuuweka kama Case study
Hata wakati wa kampeni kama za Ubunge, kupandishana hasira huwa ni njia ya kutafuta ushindi. Unakumbuka mke wa Charle Boniface Mkwasa alivyokosa kura kwa mtu mmoja kumuuliza kuwa huwa unacheza sinema za uchi. alikasirika sana na kuanza kutukana na kusema ni mtoto wa kaka yake. Kura hizoooooooo
 
I had so much rage zamani ,sababu painfule experiences za zamani,kutosamehe etc
I prayed nkamwambia Mungu chukua hii kitu na unipe roho ya upole...mpaka kesho watu wanasema yule dada mpole sana .,ilikua safari ngumu
Maombi ni njia mojawapo ya kuondoa matatizo kama hayo na kusoma bibles
 
Hata wakati wa kampeni kama za Ubunge, kupandishana hasira huwa ni njia ya kutafuta ushindi. Unakumbuka mke wa Charle Boniface Mkwasa alivyokosa kura kwa mtu mmoja kumuuliza kuwa huwa unacheza sinema za uchi. alikasirika sana na kuanza kutukana na kusema ni mtoto wa kaka yake. Kura hizoooooooo
kweli ni dirty strategy
 
Mwanzoni mwa miaka ya tisini kulikuwa na mechi ya watani wa jadi ligi daraja la pili kama sijakosea, ilikuwa dabi BOMA vs ASHANTI zote za Ilala pale uwanja wa karume, kuna timu beki wao/mkoba alikuwa hapitiki ilibidi mapumziko kocha wa Ashanti akampa task mchezaji mmoja kumpiga finger la kati/ mambo ya Nyoso yule beki na mpira ulipoanza beki alipigwa dole akahamaki, akampiga jamaa kichwa, jamaa aliyempiga dole hakuonekana na refa, beki akatolewa nje na kadi nyekundu, nakumbuka jamaa wakafunga Ila mechi haikumalizika kutokana na vurugu kubwa, kuna umuhimu sana wa kujua kudhibiti hasira zetu
 
You nailed It, Mentor.

Nimeishi kiasi cha kuishi kati. Nimeona, nimesaili na kudurusu. Nimetafiti, nimeuliza na kuperuzi. Kila jibu la suala lolote lilishapatiwa ufumbuzi-kimaandishi. Pengine miaka Alfu lela u-lela ilopita.

Hasira ni sumu, hasira ni mgogoro wa kinafsi na hasira ni udhaifu. Mwenye hasira za karibu ni mhitaji mkubwa sana wa msaada wa kisaikolojia.

Nimejifunza kutengeneza "defence mechanism" binafsi. Lengo ni kuondokana na kukasirika kuna-kosababishwa na mkasirishaji.

Mkasirishaji ni kama starter/ ufunguo katika gari. Akishakukasirisha inakuwa kama kakupa sumu. Then hutulia, maumivu hubaki kwako, si kwake.

Mkasirishwaji ana hatari kubwa ya kupatwa na magonjwa yaso-ya kuambika (NCD's) kuliko mkasirishaji. Mkasirishaji hana hasira sawa na mkasirishwaji. Jifunze ku-ignore na ku-focus, I.F Rule.

Ignore and Focus.
 
You nailed It, Mentor.

Nimeishi kiasi cha kuishi kati. Nimeona, nimesaili na kudurusu. Nimetafiti, nimeuliza na kuperuzi. Kila jibu la suala lolote lilishapatiwa ufumbuzi-kimaandishi. Pengine miaka Alfu lela u-lela ilopita.

Hasira ni sumu, hasira ni mgogoro wa kinafsi na hasira ni udhaifu. Mwenye hasira za karibu ni mhitaji mkubwa sana wa msaada wa kisaikolojia.

Nimejifunza kutengeneza "defence mechanism" binafsi. Lengo ni kuondokana na kukasirika kuna-kosababishwa na mkasirishaji.

Mkasirishaji ni kama starter/ ufunguo katika gari. Akishakukasirisha inakuwa kama kakupa sumu. Then hutulia, maumivu hubaki kwako, si kwake.

Mkasirishwaji ana hatari kubwa ya kupatwa na magonjwa yaso-ya kuambika (NCD's) kuliko mkasirishaji. Mkasirishaji hana hasira sawa na mkasirishwaji. Jifunze ku-ignore na ku-focus, I.F Rule.

Ignore and Focus.
You nailed It, Mentor.

Nimeishi kiasi cha kuishi kati. Nimeona, nimesaili na kudurusu. Nimetafiti, nimeuliza na kuperuzi. Kila jibu la suala lolote lilishapatiwa ufumbuzi-kimaandishi. Pengine miaka Alfu lela u-lela ilopita.

Hasira ni sumu, hasira ni mgogoro wa kinafsi na hasira ni udhaifu. Mwenye hasira za karibu ni mhitaji mkubwa sana wa msaada wa kisaikolojia.

Nimejifunza kutengeneza "defence mechanism" binafsi. Lengo ni kuondokana na kukasirika kuna-kosababishwa na mkasirishaji.

Mkasirishaji ni kama starter/ ufunguo katika gari. Akishakukasirisha inakuwa kama kakupa sumu. Then hutulia, maumivu hubaki kwako, si kwake.

Mkasirishwaji ana hatari kubwa ya kupatwa na magonjwa yaso-ya kuambika (NCD's) kuliko mkasirishaji. Mkasirishaji hana hasira sawa na mkasirishwaji. Jifunze ku-ignore na ku-focus, I.F Rule.

Ignore and Focus.

Ni ukweli
 
I had so much rage zamani ,sababu painfule experiences za zamani,kutosamehe etc
I prayed nkamwambia Mungu chukua hii kitu na unipe roho ya upole...mpaka kesho watu wanasema yule dada mpole sana .,ilikua safari ngumu
Busara ya Mtu uihairisha hasira yake tena anafanya fahari kusamehe makosa......Nlitamani kama utakuwa huru unishirikishe those trauma and your past experience
 
Alisema , akikupiga shavuni mgeuzie na lingine la pili apige lakini wengi hii hatuwezi.
 
mi sina hasira hata chembe hua nna uwamuzi naeza nkakufanyia kitu huku nacheka na nisione tatizo

na ukinikera sana ntakuacha lkn ntakulipizia kwa namna nyingine ambayo hutaijua au kustukia nshawah kumfungia chooni mfanyakazi mwenzangu na hakujua hadi ni nani hadi Leo
 
Back
Top Bottom