Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,024
- 26,391
Ana miaka 22 bado so usimsimange sana
WALIKUWA WANASHAURIANA KUHUSU CONDOM GANI YA KUTUMIA NA HASA YENYE FLAVOUR IPI
Wajinga wooteNa mashabiki wake wengi ni maandazi maana hata wema akijisaidia hadharani watampamba haooo duuuh!
Kumbe nae ni zero brain Kama best ake BashiteBora angekuwa na hiyo Elimu uliyoisema kidogo angeamka, unazani walivyosema shule huondoa ujinga uongo.
Kibanda cha mbao according to mtoa mada.., hahahKwani hayo maendeleo hua yanapimwa kwa kutizamwa vitu gani?
Anahitaji chakula cha ubongo ila sema tatzo hajitambui kamwe cjui nn tufanye ila huwa hawajitambuagi hawa watuPamoja na umaarufu alionao wema , ni wapi alipokwama hadi anashindwa kuwa na maendeleo?., Amekosa washauri au tatizo ni nini
Baadhi ya watu wanadai kuwa wema ameshindwa kutumia umaarufu wake kujitajirisha, wengine wanadai kuwa Wema amekuwa akitumika kwa maslahi ya watu wengine bila kujitambua, wakitolea mfano Wcb jinsi wanavyo mtumiaga kwa ajili ya maslahi yao na kumtema
Wema amebahatika kuwa na watu milioni 3.4 wanaomfollow instagram lakini ameshindwa kutumia hiyo nafasi kujitangaza kibiashara kama wanavyofanya wenzie akina Wolper, Esma, Aunt Ezekiel
Wema hadi now hana hata kibanda cha mbao alichojenga, tofauti na umaarufu anaojipa, maisha yake yamekuwa ni ya maigizo kila kukicha
Anakwama wapi , ili tumshauri?
WEMA ANA MILIKI NYUMBA YA MILIONI 450 KIJITONYAMA,WEMA ANA KAMPUNI YAKE ENDLESS FAME IPO M/NYAMALA KOMA KOMA KACHUKUA FLOOR NZIMA HADI RECEPTIONIST KAMNUNULIA MAC,WEMA ANA GARI 5 Q7,HARRIER,MARK X,BMW na MURANNO.....[HASHTAG]#ZILIPENDWA_TBT[/HASHTAG]Pamoja na umaarufu alionao wema , ni wapi alipokwama hadi anashindwa kuwa na maendeleo?., Amekosa washauri au tatizo ni nini
Baadhi ya watu wanadai kuwa wema ameshindwa kutumia umaarufu wake kujitajirisha, wengine wanadai kuwa Wema amekuwa akitumika kwa maslahi ya watu wengine bila kujitambua, wakitolea mfano Wcb jinsi wanavyo mtumiaga kwa ajili ya maslahi yao na kumtema
Wema amebahatika kuwa na watu milioni 3.4 wanaomfollow instagram lakini ameshindwa kutumia hiyo nafasi kujitangaza kibiashara kama wanavyofanya wenzie akina Wolper, Esma, Aunt Ezekiel
Wema hadi now hana hata kibanda cha mbao alichojenga, tofauti na umaarufu anaojipa, maisha yake yamekuwa ni ya maigizo kila kukicha
Anakwama wapi , ili tumshauri?
Muda huo wakushinda insta wangeutumia vizuri matunda yake yangekuwa ya maana!!Uzuri wa watu wanaofuatilia maisha ya watu wengine huwa wana maisha ya chini kuliko wanayemfuatilia
Ha ha haaa, hadi anajiigiza mwenyewe!AMEZOEA KUIGIZA
Duuh! Polepole basi, utamtoa mwenzio macho burèeeeewema ni mamaako?? ao dadaako? mbona unafuatilia maisha yake? pambana na khali yako ...