Pamoja na umaarufu alionao Wema Sepetu kwanini hana maendeleo yoyote, Anakwama wapi?

Wema bado mtoto mdogo wa miaka 17...mwacheni mnamuonea mtoto akishakuwa kama mwaka huu umri wake atakubali usomeke 18,basi ndio tuaze kumsema jamani
 
Pamoja na umaarufu alionao wema , ni wapi alipokwama hadi anashindwa kuwa na maendeleo?., Amekosa washauri au tatizo ni nini

Baadhi ya watu wanadai kuwa wema ameshindwa kutumia umaarufu wake kujitajirisha, wengine wanadai kuwa Wema amekuwa akitumika kwa maslahi ya watu wengine bila kujitambua, wakitolea mfano Wcb jinsi wanavyo mtumiaga kwa ajili ya maslahi yao na kumtema

Wema amebahatika kuwa na watu milioni 3.4 wanaomfollow instagram lakini ameshindwa kutumia hiyo nafasi kujitangaza kibiashara kama wanavyofanya wenzie akina Wolper, Esma, Aunt Ezekiel

Wema hadi now hana hata kibanda cha mbao alichojenga, tofauti na umaarufu anaojipa, maisha yake yamekuwa ni ya maigizo kila kukicha

Anakwama wapi , ili tumshauri?
Anahitaji chakula cha ubongo ila sema tatzo hajitambui kamwe cjui nn tufanye ila huwa hawajitambuagi hawa watu
 
Pamoja na umaarufu alionao wema , ni wapi alipokwama hadi anashindwa kuwa na maendeleo?., Amekosa washauri au tatizo ni nini

Baadhi ya watu wanadai kuwa wema ameshindwa kutumia umaarufu wake kujitajirisha, wengine wanadai kuwa Wema amekuwa akitumika kwa maslahi ya watu wengine bila kujitambua, wakitolea mfano Wcb jinsi wanavyo mtumiaga kwa ajili ya maslahi yao na kumtema

Wema amebahatika kuwa na watu milioni 3.4 wanaomfollow instagram lakini ameshindwa kutumia hiyo nafasi kujitangaza kibiashara kama wanavyofanya wenzie akina Wolper, Esma, Aunt Ezekiel

Wema hadi now hana hata kibanda cha mbao alichojenga, tofauti na umaarufu anaojipa, maisha yake yamekuwa ni ya maigizo kila kukicha

Anakwama wapi , ili tumshauri?
WEMA ANA MILIKI NYUMBA YA MILIONI 450 KIJITONYAMA,WEMA ANA KAMPUNI YAKE ENDLESS FAME IPO M/NYAMALA KOMA KOMA KACHUKUA FLOOR NZIMA HADI RECEPTIONIST KAMNUNULIA MAC,WEMA ANA GARI 5 Q7,HARRIER,MARK X,BMW na MURANNO.....[HASHTAG]#ZILIPENDWA_TBT[/HASHTAG]
 
Kuhusu maendeleo kila mtu ana kipimo chake. Let her live her life and live yours. Ni dada yako kwamba akifa utapata shida kulea wanae?!
 
Back
Top Bottom