Ukawa tukumbuke sio wote wanaoingia jf!!mkutano ungeoneshwa leo ingekuwa poa sana,coz kuna watu vijijini hawajui jf ni nini!!nimeanza kuwa na mashaka na viongoz wetu kama wako serious!!any way time will tell
Mimi niko chadema bt nasema ukawa wasipokuwa serious kwa siku chache zilizobaki basi maendeleo yatabaki midomoni mwetu tu!!ieleweke kuonyesha mikutano kwenye TV inahamasisha hata wale wasioenda huko viwanjani,sasa kama tunashindwa kuonyesha hata hiyo michache naanza kuwa na mashaka na watu hawa
Hata mimi imewahi kunitokea hapa singida,kuna teller mmoja bonge bonge hiv siku hizi kahamishiwa kitengo cha kuwafungulia wateja akaunti alinipiga wekundu watatu,nilivyo mletea balaa akawa ananifanyia kinyongo kunihudumia mpaka meneja alipoingilia kati.waizi sana watu hawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.