Recent content by Mangolingoli

  1. Mangolingoli

    Itakuwa vipi ikitokea kikajengwa hata kiwanda kimoja?

    Unategemea Kiwanda gani ndani ya mwaka mmoja...vya SIDO au?
  2. Mangolingoli

    TTCL imesababisha nifukuzwe Kazi

    Kwani mawasiliano USA ni ya internet tuu??? Hawaruhusi kupiga simu? au mpaka awaambie nilinunua muda wa maongezi nikashindwa kuuingiza kwasababu usajiri ulishindikana kwa zaidi ya siku nzima??
  3. Mangolingoli

    TTCL imesababisha nifukuzwe Kazi

    Upo nje ya mada!!!, mtoa mada anaongelea "usajili wa line". Wewe unaongelea "internet service" In short: jamaa katumia siku nzima kusajiri line na bado hakufanikiwa . Kibaya zaidi akadhauriwa aende kesho yake asubuhi...Na hicho ndicho kilichomfukuzisha kazi
  4. Mangolingoli

    Chanzo cha Beef la Dr. Kigwangalla na Tabibu Mwaka hadharani

    Dr Mwaka hana pakukwepea.....akijifanya Waganga wa kienyeji kwa maana ya wapiga lamri... wameshapigwa marufuku long tym.... Wakati huo huo akijifanya ni Mganga wa tiba asilia, Chama chao ndicho kilichomfungia maisha kujihusisha na tiba asilia ...lol
  5. Mangolingoli

    Natafuta shule yenye mchepuo wa CBG

    Nimekusamehe bure, Laiti ungejua umuhimu wa Heading kuwa sahihi usingelopoka hayo maneno..... wengi watatapita tuu hata kama wanaweza kumsaidia...."Heading is an invitation to read"
  6. Mangolingoli

    RASMI: PCB, PCM na CBG ndio pekee wanaopata kipaumbele cha mkopo

    Mawazo mgando na ya kizamani...eti Physics na Maths ni masomo ya kiume.... yalikuwa ya kiume kwako na lazima yalikufelisha tuu..... sikuhizi wanawake wanawakimbiza wanaume kwenye hayo hayo masomo...... Zinduka mkuu
  7. Mangolingoli

    RASMI: PCB, PCM na CBG ndio pekee wanaopata kipaumbele cha mkopo

    Nani mwingine kakwambia hajui, wewe ndo uliye declare kutokujua..... msipende kutafuniwa ....kujua hujui.... kuuliza huwezi .....hata kugoogle huwezi
  8. Mangolingoli

    Natafuta shule yenye mchepuo wa CBG

    Mkuu edit kwanza hiyo Caption ili twende sawa
  9. Mangolingoli

    RASMI: PCB, PCM na CBG ndio pekee wanaopata kipaumbele cha mkopo

    CBA nenda kawaulize SUA, kama ukishindwa basi fanya ziara Kibaha sec au Karatu sec watakusaidia.....
  10. Mangolingoli

    RASMI: PCB, PCM na CBG ndio pekee wanaopata kipaumbele cha mkopo

    Mbona unatoka mapovu......We ni wakupima yaani hujui CBA :"A" stands for what?........ hiyo edit yako imekuja wakati nimeisha post .. tatiO network......
  11. Mangolingoli

    Kama Baba wa taifa angefufuka leo, angepoteza fahamu hapo hapo!

    Usipanic kijana, nchi ilishaoza hii ngoja tuisafishe kwanza then tutawaruhusu muandamane hata mkitaka Dar mpaka mbeya kwa miguu na mikutano ya machana na usiku mtafanya.... kwa sasa tupeni muda kidogo tupige kazi
  12. Mangolingoli

    Kama Baba wa taifa angefufuka leo, angepoteza fahamu hapo hapo!

    Hiyo ni home work yako..... usipende kutafuniwa na kulishwa maneno
Back
Top Bottom