Recent content by Mangole Valles Michael

  1. Mangole Valles Michael

    JamiiForums Tanzania Hii kesi niiendesheje ili kunufaika na shambulio hili

    Wasaalam wakuu, usiku wa jumamos nilitoka kwenda kuchek gam ya Madrid na Barcelona huku nikiwa natumia Moja baridi Moja moto baada ya game nikawa narudi home wakati nipo njiani ni main load nilikutana na kundi la watu zaidi ya sita (Police jamii) mda huo skuwafaham walinisimamisha na kunihoji...
  2. Mangole Valles Michael

    JamiiForums Tanzania Mimi na wapangaji wenzangu tumepgwa faini ya sh200,000/= na serikali ya mtaa. Nipeni mbinu ya kuchomoka hapa

    Changamoto ilikua ni ndogo Sana tatizo shimo la maji taka Yale wanayo oshea vyombo limejaa kabla hatuja fanya mchakato wa kujimba jingine ndo wamekuja kutubana
  3. Mangole Valles Michael

    JamiiForums Tanzania Mimi na wapangaji wenzangu tumepgwa faini ya sh200,000/= na serikali ya mtaa. Nipeni mbinu ya kuchomoka hapa

    Wakubwa kwema.? Mimi na wapangaji wenzangu tumepigwa kiasi hicho Cha faini kwasababu ya kuto kuweka mazingira kwenye hali ya usafi. Sisi wanaume wa hapa tunapo ishi ni watu wa kutoka asubuhi na kurudi usiku nyumbani uratibu wa maswala ya usafi yanafanywa na wanawake nyumbani. Leo imetokea Kama...
  4. Mangole Valles Michael

    JamiiForums Tanzania Maonyesho ya Bishara za Wajasilimali mikoa mbalimbali

    Geita. Maonyesho ya sayansi na teknloajia katika sekta ya madini. Hufanyika Kila mwaka 27/09 - 7/10
  5. Mangole Valles Michael

    JamiiForums Tanzania 10M biashara ipi ifanyike kwa mji wa Katoro, Geita?

    Mkuu mm nipo katoro kama hutojali karibu kwa ajili ya kushirikishana fursa za mji huu.
  6. Mangole Valles Michael

    JamiiForums Tanzania Maisha yangu ughaibuni

    Uzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. Mangole Valles Michael

    JamiiForums Tanzania Nimepiga hela ndefu Betpawa nipeni wazo la biashara

    Njoo katoro tufanye biashara mkuu.
  8. Mangole Valles Michael

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano mabaya aliyopitia Kasinde kwenye maisha yake (uhalisia)

    Mama shikamoo, naomba niwe mwanao wa hiyari.
Back
Top Bottom