Recent content by mangoEmbe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Hisense U7K inch 55 ni bei gani?.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naulizia wapi nitapata na bei ya TV Hisense 55" U7N.

    Naona nyingi ni U7K na kwa uchache U6N.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kero ya kuripoti kazini baada ya kupangiwa ajira na sekretarieti ya ajira, halafu unaambiwa urudi nyumbani mpaka upigiwe simu kuitwa!

    Hapo subiri mwezi mmoja na zaidi. Ila ni vizuri, kwasababu wengine wanaenda na kuanza kazi na mshahara hauingii. Bora kusubiri wakamilishe kila kitu.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Lakini wanachokua wamekwambia ni makadirio, kwahivyo inabidi ufanye utafiti wako pia. Na hapo kwenye tofali hawakua mbali sana.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinachoitwa kipaji (kuzaliwa na uwezo wa kufanya kitu fulani)

    Vipaji vipo bana, jaribu kuimba bila kipaji mbele za watu uone. 😂😂
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini watu wanaamini kuwa Mungu yupo?

    Unahitaji kurudi shule.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yapandisha mshahara kutoka Tsh. 370,000 hadi 500,000

    Sasa watakokotoa vipi wakati hawajui hata asilimia?.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yapandisha mshahara kutoka Tsh. 370,000 hadi 500,000

    Nimegundua watumishi wengi hawajui hata kima cha chini ni nini, wanashangilia tu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msaada:nimemeza kipisi cha toothpick nahisi kinanikwangua kooni

    Mara nyingi unakuta kimeshapita lakini pale kilipokwangua ndio panakupa sensation ya kunasa.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kila la kheri mkuu. Usisahau confidence, hata kama ni ya kuigiza.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kero ya kuripoti kazini baada ya kupangiwa ajira na sekretarieti ya ajira, halafu unaambiwa urudi nyumbani mpaka upigiwe simu kuitwa!

    Kwahiyo hapa mkuu siku ukiitwa hamna pesa yoyote ya kujikimu utakayopewa?.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    We jamaa uko obsessed na TRA.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kutoka mikosi

    Hakuna kitu kama hicho, hizo ni imani za ajabu tu. Keep pushing, ongeza bidii utatoboa tu.
Back
Top Bottom