Ati cku moja panya alikwenda church kusali,kaingia ndani misa inaendelea akapiga magot anageuka nyuma akamwona paka, ndipo panya akasema "mmmmh ndugu yangu humu tumekuja kusali tu mambo ya kuwindana na kutafunana baadae!!!" ndipo paka nae akajibu kwa hasira "acha kujitetea wew humu tunakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.