Kupiga Marufuku sio dawa bali watasababisha maisha kuwa magumu kwa watu kukosa ajira cha msingi ni kuhakikisha madereva wa boda boda wanarudi darasan ili wazijue sheria za barabarani maana wengi wao ni wahuni tu wanepewa pkpk na kuingia nazo barabarani bila ya kupitia mafunzo yeyote
Kwaiyo...
Biashara ya kukununua Alizeti na kukamua iko poa sana lakini zingatia na alizeti yenyewe kwa kawaida alizeti hupakiwa debe 7@gunia moja hivyo inatakikana ktk debe saba upate dumu 1 la lita 20 na kidumu kidogo cha lita sio Chini ya lita Tatu kawaida dumu moja la mafuta huuzwa kuanzia 60k had 75k...
Mkuu achana na kilimo hicho kitakupotezea mda na fedhe nyingi nimebahatika kupita kwa wakulima mbali mbali wa Tumbaku mkoani Mbeya kuanzia Chunya ,Lupa, Isangawana, Bitimanyanga, Kambi katoto na Upande wa Tabora na Singida aisee hali ni tete Mabalo ya Tumbaku hayana bei na yamerundikana Godown...
Mkuu kama unataka kwenda Qatar usiende hali ya kuwa Unskilled Labour hapana somea mambo ya ku Oparate mitambo mikubwa kama Excavator, Motor Grader, wheel loader, Forklift na Crane hakikisha una Valid License na Basic Certificate ya kuoparate mitambo hapo utatusua kazi hizi zinafursa sana Qatari...
Mkuu umenena Rais lazima uwe na ufahamu mkubwa na mambo mbali mbali ya kimataifa na sio kuapply knowledge ya Uchungaji Ng'ombe na Mbuzi kwa Wananchi Mzee wa Magogoni anatuchunga kwa fimbo aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.