Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,071
Hali ni ngumu sana mkikaa mnasubuli ajira wakati mda na wakati una jieleza wenyewe mtachelewa kufanikiwa ni kheri mkachukua kozi za ufundi mwaka mmoja VETA au chuo kinacho tambulika na VETA fani haimtupi mtu mwezi form zinatoka mwezi wa kumi kuna mtihani wa kujiunga na VETA January masomo yana anza changamkieni fursa.....